Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Akipewa uraia na ubaguzi wake unaondoka automatically ?
Tukienda kwenye viwanda vyake kwenye managerial positions tutakuta rangi gani wengi?
Kwahiyo kama ni wengi ama wachache inakuhusu nini wewe! Kampuni ni yake halafu unampangia kuajiri, hivi watoto wako watajifunza nini kutoka kwa baba ilhali upo hivyo!!