Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Ndugu zangu wa Jimbo la Iringa Mjini, mpeni Ubunge ASAS Uchaguzi wa 2025

Hata mbuyu ulianza kama Mchicha. Kule Sudani yanayotokea ni kama haya mwanzo waafrika walikua kuwa Waarabu ni wenzao wakawakaribisha na kuishi nao wakati wao wanawapa dini Waarabu wanashika uchumi wa nchi na baadae Waarabu wakaanza kuonyesha ubaguzi wao wazi wazi. Waafrika bila kujitambua wanajuana wenyewe.

Hata Wakoloni walitutawala na kuuza Babu zetu kama matikiti maji Kwa sababu ya baadhi ya waafrika Wenzetu waliokua wanadhani kuwa Kupinga ufedhuli wa wageni ni ubaguzi kujipendekeza Kwa wazungu na Waarabu na kusaliti Uafrika wao Kwa misaada ya shanga na kaniki?

Unachokiongea ni kama ulikuwepo na kushuhudia matukio dah, wakati umehadithiwa tuu na wapotoshaji nawe kwa kuaminishwa uongo ukaamini upotoshaji huo, pole sana. Na utachemka tu
 
Ona sasa, halafu anakuja mtu from nowhere anamkandia asas aliepo iringa wakati wana iringa wenyewe wanamkubali

1000 digits
Moisemusajiografii
Frank I Ritte

ALEYOMBA GEKKE, bakini na Chadema yenu huko huko mikoani mwenu sijui ni kaskazini ama wapi, mtajua wenyewe bandugu.
Hivi unawajua wahehe na Iringa yao au unahadaika na ujinga wa huyo jamaa?Umewahi kufika kipindi cha uchaguzi huko Iringa?Humjui muhehe wewe!
 
Hivi unawajua wahehe na Iringa yao au unahadaika na ujinga wa huyo jamaa?Umewahi kufika kipindi cha uchaguzi huko Iringa?Humjui muhehe wewe!
Kwahyo Mimi syo mhehe🤣 Sahz wahehe hatuchagui Hawa machix mox....ukirudi nenda pale Samora (eneo jipya la machinga) muulize chinga yyte yule kwamba hivi unafkr 2025 tumuweke Nani watakupa jibu,
 
Nimesema watu aina ya Asas ambao wanauchungu na maendeleo ya Jimbo la IRINGA ambao Wana kiu yakuona thaman ya Ardhi inakuwa na inawavutia wawekezaji....syo mtu anashindwa kujenga hata ofs yake hivi kweli jaman

Huo uchungu wa Asas kwa iringa unaupimaje mkuu. Naona unaleta uchawa tu hapa. Au umetumwa kupima upepo?
 
Huo uchungu wa Asas kwa iringa unaupimaje mkuu. Naona unaleta uchawa tu hapa. Au umetumwa kupima upepo?
Nimetumwa na nani,? Hii ni kutokana na kutujali kwake ss wananchi wa Jimbo la IRINGA mjn tukaona siku akiwa mbunge atatujar zaidi, njoo iringa uulize akina mama na chinga yyte yule juu ya Asas atakwambia vile ni mwema na msaada kwetu...tumechoka kuwa na wabunge wasanii ukimuondoa jesca ambae kwa miaka 3 tu iringa mjn imependeshwa,...uzi huu nimeuleta kwasabu nilikeleka Sana na usanii wa wale wazungisha mikono, wamekaa miaka 10 hamna wakichokifanya.
 
Kwahyo Mimi syo mhehe🤣 Sahz wahehe hatuchagui Hawa machix mox....ukirudi nenda pale Samora (eneo jipya la machinga) muulize chinga yyte yule kwamba hivi unafkr 2025 tumuweke Nani watakupa jibu,
Unajidanganya.Nasikia kuna mtu alimwagiwa mchanga baada ya kushindwa kuwatetea?😜
 
We endelea kusikia ss ndo tunaujua ukweli... hatutaki siasa za kitapeli za kuzungusha mikono
Unanichosha na hadithi za kipuuzi.Tulia.Mnamtengeneza mumpige hela huyo mtu wenu.Mnajulikana mbona.Hamfanyi jambo kwa hasara.Eti "Mpeni ASAS jimbo"!Huwa jimbo linagawiwa kama mapera ya Kitwiru?
 
Unanichosha na hadithi za kipuuzi.Tulia.Mnamtengeneza mumpige hela huyo mtu wenu.Mnajulikana mbona.Hamfanyi jambo kwa hasara.Eti "Mpeni ASAS jimbo"!Huwa jimbo linagawiwa kama mapera ya Kitwiru?
Unatabu Sana kamanda na huo ufkr hafifu...hebu Google hapo huyo mbunge wako wa ukawa alifanya Nini hapa Iringa mjn, ameshindwa kuchangia hata mbao za kujengea mabanda ya wamachinga...nyie chadema ni wahuni kabisa, nimeskia na mbeya nako eti mbunge ametoa kiwanja mwaka huu ili wajenge ofs imagine amekaa bungen miaka 10 yote Hana ofs ..kwendeni huko matapeli kabisa
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Kwani alikwambia ana nia ya kugombea .
 
ASAS amekuwa tegemeo kubwa sana kwa Wana iringa mpaka njombe...licha ya kutoa maziwa bure mashuleni kwa mikoa ya IRINGA na Njombe PIA amewanyanyua watu wengi Sana kiuchumi Wenyeji ni mashahidi.
MPENI JIMBO ASAS 2025, PEDE UYO TUTIGILAGE MYETU HELA.
NB: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI YASITAFSIRIWE VINGINEVYO
Wewe amekusaidia nini.
 
Wewe amekusaidia nini.
Ametoa msaada mkubwa kwenye ujenzi wa mabanda mapya ya wamachinga, ametoa mtaji kwa wafanyabiashara wadogo wadogo, amesomesha vyuo vikuu watoto wanaotoka familia maskini, in general Ni mtu wa watu
 
Kwani alikwambia ana nia ya kugombea .
Ni maoni yangu nikilinganisha na utapeli tuliofanyiwa na yule mbunge wa ukawa maana yy kazi yake ilikuwa Ni kuzunguzisha tu wananchi mikono ameondoka Hakuna legacy aliyoiacha
 
Amenijengea mabanda ya wamachinga akatupa na mtaji wa biashara
Kama ameleta maendeleo kwa fedha zake hakuna haja ya kugombea, ashirikiane na Mbunge Msambatavangu kuleta maendeleo zaidi kiyume na hilo ni kutafuta namna ya kurudisha fedha zake.
 
Kama ameleta maendeleo kwa fedha zake hakuna haja ya kugombea, ashirikiane na Mbunge Msambatavangu kuleta maendeleo zaidi kiyume na hilo ni kutafuta namna ya kurudisha fedha zake.
Hajaanza leo kuleta maendeleo hata kipindi msigwa mbunge hakusta kutupa misaada mbalimbali kwahyo Kama ikimpendeza akigombea atapita kwa kishindo Sana...hapa mjn hata mtoto wa miaka 4 anajua wema wake maana Kama yy hajaguswa basi wazazi wake wameguswa na ameona
 
Ni maoni yangu nikilinganisha na utapeli tuliofanyiwa na yule mbunge wa ukawa maana yy kazi yake ilikuwa Ni kuzunguzisha tu wananchi mikono ameondoka Hakuna legacy aliyoiacha
Anzisheni furugu kama kawaida yenu, hakuna shida ila aliyeko na unayemtaka wewe wote hawafai.
 
Anzisheni furugu kama kawaida yenu, hakuna shida ila aliyeko na unayemtaka wewe wote hawafai.
Furugu ndo nn mkuu🤣🤣....kuliko wale matapeli wamekaa Iringa mjn miaka 10 wameshindwa kujenga hata ofs yao...mpaka Sasa wanatumia nyumba zao Kama ofs, hakuna walichokifanya hapa mjn Jesca kwa muda mfupi kazi inaonekana..wao ni kupitisha vilambo tu kuomba hela huku wanakula posho za ubunge, wali uddmiza Sana mji wetu...
 
Hajaanza leo kuleta maendeleo hata kipindi msigwa mbunge hakusta kutupa misaada mbalimbali kwahyo Kama ikimpendeza akigombea atapita kwa kishindo Sana...hapa mjn hata mtoto wa miaka 4 anajua wema wake maana Kama yy hajaguswa basi wazazi wake wameguswa na ameona
Kwani amekwambia anataka Ubunge au unamlazimisha.
 
Back
Top Bottom