Ndugu zangu wa Kanda ya ziwa Rais ni Mama Samia tujue hilo

Wangekuwa wajanja wasingeuza nyumba zao kariakoo wakakimbilia uswazi kuishi kama bata bukini
Wanaonunua kariakoo ni haohao waswahili...nenda kariakoo kama hujakuta Karibia Kila frem Ni ya mswahili kama sio mwarabu
 
Aliyekutuma kamwambie umebeu.
 
Wangekuwa wajanja wasingeuza nyumba zao kariakoo wakakimbilia uswazi kuishi kama bata bukini
Mshamba mwengine anadhihirisha...Ulishaona wapi wenyeji wakakaa kwenye ktk ya jiji?? Utembee kidogo duniani utoe tongotongo au miwani ya mbao hiyo??
 
Comment ya kipumbavu kabisa!
 
Haujui siasa ndio maana unaandika hivi, experience nini kinaweza tokea kwenye siasa, ni Bora kuacha kuhamasisha siasa za namna hii, manufaa yake ya muda mfupi sana....

wanasema politics is the game of number, hawa watu wakiji organize sio kwamba siasa ya nchi hii lazima itakuwa tofauti kabisa eventually watashinda, na labda hata machafuko, usicheze na siasa, chuki ikijijenga hii nchi itakuwa vipande vipande, hao sukuma gang sio kikundi kidogo Cha watu. Ngoja tuone nyie wenye busara, endeleeni kuhamasisha haya mambo, yatazaa matunda muda si mwingi!!!
 
Nakwambia huyu mama anajipendekeza sana kwa Wasukumaila atambie hana kura zetu!
Thread ya kipuuzi kama hii inaleta ukanda kwenye taifa letu, wote wenye tabia chafu kama ya mleta mada wakemewe kwa nguvu zote.
 
Yaani mnawadhararu wasukuma wakati wa kamoeni mnakuja kuwaomba kura! Very stupid! Tokea lini wasuka wakawa tegemezi kwa watu wala urojo na wajinga wajinga!
[mention]Moderator [/mention],
Labda uzi hauna shida lakini kuna coments zinahitaji umakini...
Ukabila ni sumu.
 
Wee Jamaaa umeamua kuttukana watu modes watu kama hawa mnawangalia halafu wale wanatoa koment za mshikamano mnafuta mada zao. Huyu ndy baadhi ya Wajinga waliopo kwenye nchi...idiotic coment from it!!
 
Yaani mnawadhararu wasukuma wakati.wa kamoeni.mnakuka kuwaomba kura! Very stupid! Tokea lini wasuka wakawa tegemezi kwa watu wala urojo na wajinga wajinga!
[mention]Moderator [/mention],
Labda uzi hauna shida lakini kuna coments zinahitaji umakini...
Ukabila ni sumu.
Ccm ilikosea kumuweka jiwe madarakani, ndo ameasisi ukabila ivyo
 

Achana na ngonjera
 
Huyo Bibi yenu mwisho 2025
 
Achana na ngonjera
Mungu anaipenda nchi yetu, aliruhusu dictator aingie madarakani ili watu waamuke.

Wakati wa Mwalimu mpaka Kikwete, hatukushuhudia watu wakizungumzia ukanda au ukabila kama ilivyo sasa. Jiwe ni turning point, ili nchi ijikomboe, tazama sasa watu wameiona na kuijua athari za ukichaa madarakani, ukabila madarakani, ubabe madarakani, kuharibu uchaguzi, kuua wapinzani n.k.

Hii itusaidie kuijenga nchi vizuri, ni jambo jema Mungu kumleta Jiwe itatusaidia kutengeneza, katiba vizuri ili kuzuia udhalimu wa namna hii usitokee nchini tena.

Mama anatuonyesha nyufa zilizo zalishwa na yule dhalimu ili tujitekebishe. Sasa kuna ustaarabu na heshima nchini
 
Mkuu BRITANICC naomba ututake radhi watu wa Kanda ya ziwa,Mimi ni mtu wa Kanda ya ziwa lakini namuelewa Sana mama.Kwa hiyo unapokuwa unaandika post usiwe unajulisha wote.Tupo sisi wengine ni WA Kanda ya ziwa lakini ni Wa umini wa Democrasia ,haki na hoja. CCM ya awamu ya tano haikuwa na hoja bali ubabe tu.#2025 kazi iendelee#
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…