Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Yaani mnawadhararu wasukuma wakati.wa kamoeni.mnakuka kuwaomba kura! Very stupid! Tokea lini wasuka wakawa tegemezi kwa watu wala urojo na wajinga wajinga!
Walikuwa Mungu watuEnzi za Magu wapinzani waliteswa sana. Sukuma gang pateni experience ya mateso kidogo
Siyo kidogo. Wapate mateso sana. Then akili itakujaEnzi za Magu wapinzani waliteswa sana. Sukuma gang pateni experience ya mateso kidogo
Ww subirini kuna chuma kitakuja kuchukua nchi mtalima kwenye lami na mlivo wazembe mmejaa majungu mtakomaHii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Asante KashekuKanda ya Ziwa tuko imara tuna jambo letu 2025 mtashangaa
Ama utamfanya nini? Utaandamana? 🤣🤣Rais ni Mama Samia ila 2025 statute kazi nyingine
Wewe unanuka ukabilaHii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
SUKUMAPHOBIA.NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema
Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA
Ukanda ni propaganda za kipumbavu kabisa.Mungu anaipenda nchi yetu, aliruhusu dictator aingie madarakani ili watu waamuke.
Wakati wa Mwalimu mpaka Kikwete, hatukushuhudia watu wakizungumzia ukanda au ukabila kama ilivyo sasa. Jiwe ni turning point, ili nchi ijikomboe, tazama sasa watu wameiona na kuijua athari za ukichaa madarakani, ukabila madarakani, ubabe madarakani, kuharibu uchaguzi, kuua wapinzani n.k.
Hii itusaidie kuijenga nchi vizuri, ni jambo jema Mungu kumleta Jiwe itatusaidia kutengeneza, katiba vizuri ili kuzuia udhalimu wa namna hii usitokee nchini tena.
Mama anatuonyesha nyufa zilizo zalishwa na yule dhalimu ili tujitekebishe. Sasa kuna ustaarabu na heshima nchini
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu hii Lugha sio nzuri kabisaa. jaribu kutumia busara ili kulinda amani na utulivu. Somalia ilianza hivyo hivyo wakati wa Siad bare sasa hivi hapakaliki!Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Wewe ngosha unajua Nini tofauti Na mbegu Za mahindi?Ww subirini kuna chuma kitakuja kuchukua nchi mtalima kwenye lami na mlivo wazembe mmejaa majungu mtakoma
Hapa umepiga kwenye mshono.Usiseme Kanda ya Ziwa, Sema sukuma Gang a.k.a Waburundi
Kanda ya Ziwa kuna Wahaya, Wajita, Wakurya na Wajaluo na hawana tatizo lolote!
Ni wapuuzi wachache wengi wao wanajiita Wasukuma Ila asili yao ni Burundi na Rwanda
Sema simtaki hamumtaki na Nani?ila akae akijua hiyo nafasi hatoshi kaja kwa bahati mbaya,
hatumtaki