Ukweli unauma..siku zote mti wenye matunda ndio hupondwaWee Jamaaa umeamua kuttukana watu modes watu kama hawa mnawangalia halafu wale wanatoa koment za mshikamano mnafuta mada zao. Huyu ndy baadhi ya Wajinga waliopo kwenye nchi...idiotic coment from it!!
Britannica,ni kipindi gn wana ccm walikuwa wakizomewa wakipita wamevaa nguo za kijani?, sio kipindi cha katibu mkuu kinana na mwenezi Nape? Leo unapata wapi ujasiri wa kusema watu wenye ueledi?NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema
Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA
Wala magufuli hakuwa kipenzi cha watu wa kanda ya ziwa tu,nenda moshi alikuwa akipokelewa na matawi,tuombe uzima,Usiseme Kanda ya Ziwa, Sema sukuma Gang a.k.a Waburundi
Kanda ya Ziwa kuna Wahaya, Wajita, Wakurya na Wajaluo na hawana tatizo lolote!
Ni wapuuzi wachache wengi wao wanajiita Wasukuma Ila asili yao ni Burundi na Rwanda
Sasa hivi udini umekithiri.Awamu ya tano,kaskazini walilalamika kwa kuwa mtawala aliyekuwepo alifanya kila hali kupunguza tabia ya upendeleo waliyokuwa nayo kwenye fursa serikali. Wakalalamika na kuhisi walilokuwa wanafanya ni sahihi. Wakamshambulia kwa kejeli na kabila lake na kunung'unika. Mtawala nae akafanya kosa hilo hilo kwa kuweka upendeleo kwa watu wa kanda ya ziwa kwenye fursa na nafasi za uongozi serikali. Nao wakafurahia na kuhisi ni sahihi na haki yao. Wakabeza na kutukana wengine kwa dini na makabila yao.
Nashukuru awamu ya sita imeamua kuruhusu haki itawale na fursa kwa kila Mtanzania bila kujali dini,kabila au kanda yake. Endelea kufanya marekebisho Mama Samia, mwisho wa siku kila mtu atakuelewa.
Wote mwisho wetu ni kifo.., uwe lofa an uwe Tajiri mwisho wa siku wote ni chakula cha udongo..,NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema
Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA
Kwani Malaika wa Chato hakuwa Rais kwa kutumia dola?Kanda ya ziwa mama bado hawajakubali kama ni Rais, pamoja na kujiita Hangaya Chief wa kisukuma lakini bado hawajampenda.
2025 ataendelea kuwa Rais kwa kutumia dola lakini hawezi kufeel ile legitimacy. Hakubariki kwa kweli.
Kwa sababu mlizoea kila anayeteuliwa na Marehemu lazima awe wa dini yake..mkaona yupo sahihi. Kwa sasa kila dini,kabila au kanda zina fursa sawa.Sasa hivi udini umekithiri.
Mtafanyaje sasa. Option pekee mliyonayo ni kupigia kura upinzani tu. Lakini kupindua chama mbele ya born town hamuwezi
Niliamini (na hata bado naamini) Jf ni jukwaa la watu wenye fikra yakinifu na zenye akili kubwa na ndio maana nikaamua kujiunga.Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Tutafuta Rais mshamba tena.Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema
Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA
Kanda ya Ziwa tuko imara tuna jambo letu 2025 mtashangaa
Thread ya kipuuzi kama hii inaleta ukanda kwenye taifa letu, wote wenye tabia chafu kama ya mleta mada wakemewe kwa nguvu zote.
Wacha ujinga, hao born town maji yaliwafika shingoni 2015 mpaka jpm akabaki karata yao ya mwisho ambaye alikirudisha chama kwenye ramani.Hao mangedere na manyani waliorudi kuvamia shamba ndio mnawaita ma born town,inahitaji kuwa hayawani kushabikia ujinga huo.Mtafanyaje sasa. Option pekee mliyonayo ni kupigia kura upinzani tu. Lakini kupindua chama mbele ya born town hamuwezi
Unajua kabila la kinana??Hii nchi washamba hawawezi kuwaongoza wajanja wa pwani hata siku 1...wahaya,wanyakyusa,wachagga Na wakurya Ni wajanja kwenye kulima mashamba ila tukija kuongozwa Ni kama ng'ombe Tu Mbele ya waswahili..
Ndomaana lugha ya taifa Ni Kiswahili sio kisukuma
Wapumbaf kama wewe ndio mnaenda kumchonganisha huyu mama na kanda ya ziwa.ulivyo mpumbaf unafikiri ukizungumzia kanda ya ziwa unazungumzia wasukuma peke yake.NImepitia nyuzi Zote 23 na comment zaidi ya 3600 naomba niseme ndugu zangu wa kanda ya ziwa ndoto ya kutoa raisi imekufa hivo tuendelee kumuunga mkono mama .
2)Kama mama ameeleweka Vema lengo lake ni kurejesha Chama kwenye mikono salama ya watu wenye weledi, hivo kuna anaweza hoji uwezo wa Kinana katika kukijenga chama? Mama ameeleweka vema sana kwamba Chama sasa kiko mikono salama ,
3nimalize kwa kusema CCM ilikuwepo ipo na itaendelea kuwepo kama kuna mtu au watu wanadhani siku moja itakufa watakufa waoo" WAPUMBAVU MALOFA" ben voice jioni njema
Naona Moja la Magharibi ya Mbali katoka Nchimbi nilisema kuna Mabadiliko bado Makatibu wanne
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
BRITANICCA
Sio wakinga tena.Wanaonunua kariakoo ni haohao waswahili...nenda kariakoo kama hujakuta Karibia Kila frem Ni ya mswahili kama sio mwarabu
Moshi hatukuwahi kumpenda magufuli kilichokua kikifanyika ni kumpaka mafuta Kwa mgongo wa chupa.Wala magufuli hakuwa kipenzi cha watu wa kanda ya ziwa tu,nenda moshi alikuwa akipokelewa na matawi,tuombe uzima,
Wakinga wana kelele kinyama...akichukua frem mmoja mpaka Kenya watajua ..ukija kuangalia kariakoo nzima hawazidi 30Sio wakinga tena.
#MaendeleoHayanaChama