MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,174
Mfano Muheshimiwa Raisi Akisema HAKUNA CORONA Nisi-like au Ku-comment kweli...?? Maana hii ntakuwa na uhakika nayo..!Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment