Ndugulile: Kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, ku-like wala kukomenti

Ndugulile: Kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, ku-like wala kukomenti

Bongo muda mwingine sijui huwa wanafikiri kwa kutumia miguu hoja zao ni kiboko hata mateja hawawezi kutoa matamshi ya hovyo kama haya ya kuwakamata wasioweka umeme na kununua magari haijapoa imekuja ya ku like...
 
Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .

Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.

Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Haya mambo yote yaenfanayo na Sheria za uhalifu mtandao ya 2015 hayatekelezeki. Hiki alichoongea Dr Ndugulile ndiyo hakiwezekani kabisa Ila ni tisha toto tu.

Kweli Serikali inaweza kamata watu watatu au 4 lakini siyo rahisi kuwa tia hatiani kwa Sheria zetu. Kuna mwanafalsafa alisema kwa kiingereza;

“The closer is the collapse of an empire, the crazier are its laws.”

au kwa Latin

" Quod propius est ruina imperium, et sunt leges pertoccavi. "

Hizi ni dalili kama alizokabikiwa nazo Nebuchadnezzar kabla dola yake haijasambaratika
 
Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .

Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.

Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Nafikili Kama kinachofanyika huko hawapendi kuona au kusikia, wafunge account zao,Kama mh president Kinyatta,vinginevyo kitakua kituko kingine
 
Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .

Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.

Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Kashindwa kupambana na makampuni ya simu, kabaki kubweka tuu kama kafungiwa gatini
 
Hizi nguvu zote wangeziweka kwenye kupambana na korona badala ya kujitahidi kuificha. Maradhi hayafichiki. Kwenye yale maombi wanayotaka tuombe hatutaitaja korona tu iondoke bali na wanaojitahidi kuificha tutapeleka shauri.nao waondoke.

Haiwezekani sisi tunapambana kufyeka vichaka adui awe peupe wengine wanajitajidi kumficha. Sasa tutakichoma kichaka na wenyewe wakiwa humohumo.
 
Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .

Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.

Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Mjinga sana huyu Ndugulile.
 
Watasababisha tuwe na email account zaidi ya moja na kurejister mitandao hiyo kwa emails tofauti na twende anonymous zaidi!
 
Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .

Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.

Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Sheria ya matumizi ya mtandao iko wazi. Anayesambaza na ku like habari za upuuzi, jeshi la polisi litamkamata na kumfikisha mahakamani ambako atahukumiwa kwenda kunyea debe miaka mitano. Dr Ndungulile anawakumbusha kutii hiyo sheria. Kama unabisha jeshi la polisi litaanza na wewe pamoja na wachache wanao ku support ili uwe mfano kwa wengine.
 
sasa kama sina uhakika nisicomment kuuliza swali ili labda ndio nipate uhakika..., Hata hii sina uhakika nayo je kama nimecomment nikidhani ni ya uhakika kumbe sio yan uhakika kwanini niwajibishwe ?

Tatizo kubwa ni Taasisi zinazotakiwa kutoa habari ya kudhibitisha haziaminiki..., hence ndio kupelekea watu kutafuta habari kwenye njia nyingine..., Wakitaka kuondoa hayo wawe Transparent, Open na sio watu wa kuficha ficha...
Kiufupi,,keep kwayat
 
Tumeshakuwa North Korea, itafuata CCTV na camera kibao kupachikwa ktk kila mkutano, maandamano, hafla n.k kuona sura za hadhira za mtu mmoja mmoja kama je unafurahia hotuba, unapiga makofi, unagonga meza n.k na kama hatufanyi hivyo tutanyakuliwa haraka haraka kuwa ni wapinga juhudi, si wazalendo, tunachelewesha maendeleo, ni vibaraka hatari wa mabeberu n.k

Taratibu tunaelekea huko walikofika North Korea. Nchi ya kusifu, kushangilia, kulia machozi kwa Umoja na mfumo wa utawala usio na ukomo wa madaraka kwa wanasiasa.

Source : ABC news

Kazi ipo !
 
Sheria ya matumizi ya mtandao iko wazi. Anayesambaza na ku like habari za upuuzi, jeshi la polisi litamkamata na kumfikisha mahakamani ambako atahukumiwa kwenda kunyea debe miaka mitano. Dr Ndungulile anawakumbusha kutii hiyo sheria. Kama unabisha jeshi la polisi litaanza na wewe pamoja na wachache wanao ku support ili uwe mfano kwa wengine.
Wewe ni wa kuhurumiwa tu
 
Kazi ipo !

Dalili zote Mkuu tunaelekea huko, wanataka kudhibiti majukwaa yote.

Walianza na majukwaa ya siasa, wakaenda vyombo vya habari /media, vyama vya kitaaluma, vyuo vikuu wameshamaliza.

Sasa wanatafuta kuungwa mkono kwa vitisho ndani ya nyumba za ibada.

Tundu Lissu alituasa wakimalizana na "sisi", wakakwenda na sehemu zingine kujaribu kuwanyamazisha na kuwatisha.
 
Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .

Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.

Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Mwisho wa ubaya ni aibu, Ndugulile anatapatapa tu.
 
Back
Top Bottom