Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Msitutishe .Tutalike na tutacoment. Sasa naona mnataka kuingilia uhuru wetu hadi vya kulike jamani ?Kwanza wakati mwingine unaweza kulike bila hata kujua.
Mbona sijamuelewa waziri.
Kucomment huwa ni positive au negative sasa kwanini unakataza?
Hata marehemu wanasomewa misa mbona!Kimoyo moyo umemkumbuka Paul Makonda!
Naunga mkono kudhibiti wazandiki wote walioko Twitter.Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Sawa sawa mzee Babushka.. umeelewekaMie ni mnyarubanja tokea Ngoni migration, tulikaa Misri utumwani sasa tuko Kanani nchi ya asali na maziwa!
Usiponielewa ujue umeelewa [emoji28] [emoji23]
Everyday is Saturday................................😎
Mwambie aje awe anaandikia ujinga wake hapa tz uoneSimple waanze kumkamata kigogo kwanza..
Habari za uhakika zinakuwaje ujinga ?Mwambie aje awe anaandikia ujinga wake hapa tz uone
Lengo ni kusikika ama kusikia sauti wazipwndazo na sii zilewasizozipenda.Wale waliomuona Dr Ndugulile kama Mkombozi wa kutatua kero ambazo TCRA wameshindwa wanapaswa kuanza kufikiria upya .
Wakati suala la vifurushi vya mitandao limemshinda na ameufyata , kaja na mpango wa kuwakomesha zaidi watumia mitandao watao share au ku like habari ambazo yeye binafsi na waliomtuma hawapendezwi nazo, hili kwangu ni jambo jipya kabisa ! na bado sielewi lengo la serikali kwa kuleta unyama huu kwa raia wake.
Labda kama kuna mtu aliyeelewa tofauti na nilivyoelewa mimi aje afafanue , bali kinachofahamika ni kwamba mpango huu wa kikatiri dhidi ya Raia utashindwa vibaya sana , hii ni kwa sababu hakuna serikali yoyote duniani iliyowahi kufanikiwa kuwakamata na kuwafunga raia wake wote
Uhakika upi aliowahi kusema kigogo?Habari za uhakika zinakuwaje ujinga ?