Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 5,119
- 4,569
Wewe ndiyo wa kuhurumiwa tu kama Mwamakula.alivyohurumiwa.Wewe ni wa kuhurumiwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiyo wa kuhurumiwa tu kama Mwamakula.alivyohurumiwa.Wewe ni wa kuhurumiwa tu
Ndugulile aangalie kilichomkuta NapeDalili zote Mkuu tunaelekea huko, wanataka kudhibiti majukwaa yote.
Walianza na majukwaa ya siasa, wakaenda vyombo vya habari /media, vyama vya kitaaluma, vyuo vikuu wameshamaliza.
Sasa wanatafuta kuungwa mkono kwa vitisho ndani ya nyumba za ibada.
Tundu Lissu alituasa wakimalizana na "sisi", wakakwenda na sehemu zingine kujaribu kuwanyamazisha na kuwatisha.
Ona akili za Lumumba buku saba kijani kibichi empty set kwelikweli .Naunga mkono kudhibiti wazandiki wote walioko Twitter.
Vibaraka wa Jiwe kazini , anyway hata ibilisi hakosi wafuasi .Uhakika upi aliowahi kusema kigogo?
😆😆😆😆Vibaraka wa Jiwe kazini , anyway hata ibilisi hakosi wafuasi .
Very goodAanze na hizi namba hapa huyu taperi anasumbua sana 0734 731 427 na 0712 827372 jina LEZIA SHILUMBA na 0734 696 335 0689 881132 JAKILINA NAMBEYA
Mtatufunga nchi nzima tuone kama mnamajengo yatayotoshaHawa wanaolike ovyo ovyo,,dawa ni kuwafunga tu,,kwa ushauri wangu
Stupid kabisa. Msitutishe .Tutalike na tutacoment. Sasa naona mnataka kuingilia uhuru wetu hadi vya kulike jamani ?Kwanza wakati mwingine unaweza kulike bila hata kujua.
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo.
Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.
Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment.
Aidha kuhusu matapeli wa mtandaoni, Ndugulile amesema wataanza uhakiki upya ili kudhibiti hilo.
View attachment 1707876
Anayepaswa kuwa na uhakika nacho ni aliyepost, mimi msomaji nitapaje uhakika kama hata chanzo cha taarifa sikijui? Serikali itulie sasaUmeambiwa kama kitu huna uhakika nacho,usipost,kukoment wala kulike...
Mbona sijamuelewa waziri.
Kucomment huwa ni positive au negative sasa kwanini unakataza?
Naona Kim ameihamishia Korea huku, ngoja uone kama hawatakataza watu kupiga chafya.
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo.
Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.
Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment.
Aidha kuhusu matapeli wa mtandaoni, Ndugulile amesema wataanza uhakiki upya ili kudhibiti hilo.
View attachment 1707876