Pre GE2025 NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura

Pre GE2025 NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizo hela za kuweka CCTV ni bora zikaboreshe sekta ya afya, elimu na barabara. Maana CCM wataiba tu hizo kura kama kawaida yao
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Halafu DVR zimilikiwe na CCM? Hapo ni kaz bure. Kikubwa katiba mpya, tume huru isiyokua nominated na Rais, uchaguzi wa kielektroniki!!
 
Bro,tatizo la nchi hii ni hatuna ”tume huru ya uchaguzi”,tume ambayo mwenyekiti wake hawajibiki au hatokani kwa namna yoyote na utashi wa viongozi wa kisiasa.

Tutazunguka kote lakini point ya msingi ni kupata uhuru wa tume nje ya hapo uchaguzi hata wasimamie Masheikh na wachungaji still matokeo yatatengenezwa tu.
Naunga mkono hoja 👍👏🤝
 
Kuna mtu humu JF alitoa ushuhuda wa namna wakivyoamriwa wafanye wizi wa kura kwenye uchafuzi wa 2020.Marehemu apate 98 asilimia.
 
Bro,tatizo la nchi hii ni hatuna ”tume huru ya uchaguzi”,tume ambayo mwenyekiti wake hawajibiki au hatokani kwa namna yoyote na utashi wa viongozi wa kisiasa.

Tutazunguka kote lakini point ya msingi ni kupata uhuru wa tume nje ya hapo uchaguzi hata wasimamie Masheikh na wachungaji still matokeo yatatengenezwa tu.
Tume huru ya uchaguzi bila watu wenye uhuru na usalama kwenye misimamo yao ni ushamba tu jalponi hatua nzuri lakini watu wanakuwa serikali au kwenye mihimili iundayo serikali lakini inakuwa michawa tu.
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Lissu alipigwa Risasi ma CCTV zilikuwepo zilisaidia nini
 
Watakwambia gharama ni kubwa mno. Lakini kununua washa washa haihitaji mjadala.
 
CCTV ya modewji si mbona iliwekwa wazi...

Hiyo ya Tundu Lissu nayo wahusika hawakuonwa kwa sura....

Lakini hii ya uchaguzi lazima uingie kwenye chumba ukiwa unaonekana, hivyo ni rahisi kumtambua mtu endapo akifanya ujinga.
images (1).jpeg

Na wewe ukauamini huu ujinga kuwa ndio picha za CCTV zikionyeshw gari lililotelekezwa na waliomteka Mo?
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Hao wanaozuia mawakala wa upinzani kuingia vituoni ndio watakaozima hizo CCTV cameras.
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Nani atasimamia hizo CCTV?
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Saver itakuwa monitored na nani? Kwanini tutumie bilions of money kwa uchaguzi tu na sio kuleta maendeleo?
 
Sasa kumbuka hizi CCTV ni zinatizamwa na wasimamizi wa Chadema na wa vyama vingine kipindi mchakato wa kura unaendelea... Kunakuwa na watu wa kila chama wakiwa maalumu kwa ajili ya kukaa kwenye vyumba vya CCTV kutizama mchakato mzima... Endapo ikitokea dosari wanashughulika nayo hapo hapo huku wanatumia CCTV footage kama evidence.

Ni tofauti na TV ikionesha tukio, maana wanaweza kuambiwa wametunga au kutengeneza video, au chochote hili kujitetea.... Kumbuka CCTV inarekodi muda, tarehe na eneo husika
Ni sawa lakini hili si tatizo la msingi kwa sababu mfumo ndo umejikita kutokutenda haki. Tutafute suluhu ya kurekebisha huo mfumo batili na haramu
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Alipokuwa anqishi Tundu lisu kule Dom zilikuwepo! Baada ya tukio la kupigwa risasi Kuna wamba walikuja kuzinyofoa! Labda mtuambie wale wamba wachomoao CCTV kwenye barabara issue tata wamekufa wote na makaburi yao tumeyaona ndo tutakubali ziwekwe
 
Yaani watu wanaua watu Ili washinde waje wazuiwe na CCTV camera...........!

Tuacheni utani kabisa na ccm, manunuzi yenyewe lazima iwe mara kumi zaidi ya bei halisi. Kwasasa ccm wakuwazuia ni wananchi wenyewe kama wataamua kuwa ccm sasa basi kwa kuwa wasimamizi wakuu wa uchaguzi wakati wa kura.
 
Back
Top Bottom