Pre GE2025 NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura

Pre GE2025 NEC: CCTV zifungwe kuepusha wizi wa kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
CCTV ZILIFUNGWA KWENYE LANGO LA KUINGIALIA NYUMBA ALIYOKUWA ANAISHI TUNDU LISSU WAKATI ANAPIGWA RISASI DODOMA LAKINI BAADA YA TUKIO ZILIONDOLEWA MPAKA LEO HIVYO HIZO ZA NEC NAZO ZITAONDOLEWA NA WAHUSIKA
SULUHISHO NI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA TU.[emoji779][emoji779]
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Kura zinazoibwa katika mfumo ndani ya tallying system ya kura itazuiwaje na CCTV cameras?

Kura za Urais zitalindwa na camera ikiwa hakuna Tume HURU ya UCHAGUZI yenye uwezo kuruhusu Matokeo ya Urais kihojiwa mahakamani?

Rudi kufikiri UPYA.
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
CCTV mpaka vijijini ndani kabisa. ??!!
Vituo vilivyopo vijijini ndio vingi zaidi kuliko vilivyopo mijini !!
Najaribu kuwaza sijui kama inawezekana !! Kama fomu tu vituo vingine huwa zinachelewa kufika 😅😅
 
Teknolojia nayo ikitumika vizuri, inakuwa suluhisho... Mfano makazini wanaweka mfumo wa kusaini umeingia kazini kwa fingerprint inakuwa ni ngumu mtu kufoji, lakini waliokuwa wanasaini kwenye makaratasi wengi walikuwa wanafoji na kuandika kafika mapema kumbe kachelewa.

Teknolojia siku zote ni mwarubaini wa makosa yanayofanywa kianalojia
Nadhani unajichanganya mwenyewe kwa kutojua.
Teknologia haiwezi kuzuia chochote iwapo inatumiwa na huyo huyo anayeitumia kufanya uhujumu.
Hii itakuwa ni kama kiini macho tu cha kudanganyia watu waone kwamba hujuma haifanyiki, kwa vile tu kuna mazingaombwe ya CCTV yaliyowekwa na kutumiwa na huyo huyo mhujumu ili kukidhi matwakwa yake ya hujuma.

Sasa umetaja CCTV za matukio ya Mo na Tundu Lissu, kuwa zipo, lakini wakati huo huo unasahau kwamba hazikusaidia chochote; wewe huoni mchanganyiko huo unaovuruga pendekezo hili unaloleta hapa?
 
CCTV mpaka vijijini ndani kabisa. ??!!
Vituo vilivyopo vijijini ndio vingi zaidi kuliko vilivyopo mijini !!
Najaribu kuwaza sijui kama inawezekana !! Kama fomu tu vituo vingine huwa zinachelewa kufika 😅😅
Ni pendekezo lisilokuwa na miguu.
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Siyo Ccm!!!
 
Nani atakuwa ana monitor hizo CCTV?
Au ndo nyani anamchunga ngedere asiibe mahindi shambani
 
Nani atakuwa ana monitor hizo CCTV?
Au ndo nyani anamchunga ngedere asiibe mahindi shambani
Kila mwakilishi wa chama kinachogomgea anakuwemo kwenye Chumba cha CCTV kutizama
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa
Tutaingia gharama za bure tu. Muarobaini ni Tume Huru ya Uchaguzi (Independent Electoral Commission) inayojitegemea, yenye watumishi wake yenyewe na matokeo ya wagombea wote yapingwe mahakakamani.
Waangalizi wa Uchaguzi wa ndani na nje wawepo tangia kwenye kampeni mpaka kutangazwa kwa kura. Mabox ya kupigia kura yawe ya Vioo au Plastic isiyo na kificho.
CCTV camera nani atakuwa anazi-monitor in real time nchi nzima?
Zinaweza kufaa tu, kwenye ushahidi Mahakamani.
 
Tumepata shuhuda mbalimbali za namna ambayo wizi wa kura katika chaguzi mbalimbali hutokea. Wengine wakisema Maboksi ya kura zilizopigwa tayari uingizwa kwenye vyumba vya kupigia kura kisiri ambapo hutokea endapo waangalizi wa vyama vingine wakiwa hawapo au wametengenezewa zengwe mfano kuambiwa hawana vitambulisho sahihi, hawajavaa vizuri na zengwe la kila aina ilimradi waondoke hili kura ziingizwe.

Na shauri CCTV camera ziwe zinafungwa kwenye vyumba hivi vya kupigia kura nchi nzima ili endapo kuna kasoro basi inakuwa rahisi kwenda kutizama CCTV na kujua nini kimetokea. Hii itasaidia kuondokana na shida ya uangalizi endapo msimamizi atakuwa kashindwa kusimamia vizuri. Mfano Boksi za kura zikiletwa basi inakuwa rahisi kuzifuatilia pia kupitia CCTV kamera endapo zimeongezwa

IMG_3238.jpg
 
Back
Top Bottom