S.M.P2503
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 2,421
- 4,344
Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Hata mimi jambo hili nimeliwaza labda ndio mpango mzima, tume ya uchaguzi ikifanya hivi, hakuna tena malalamiko ya kuibiwa kura au habari za tume huru... ngoja tuone, labda ndio njio ya jiwe kutafuta legitimacy ya uchaguzi huru na wa haki... atatua mzingo muda si mrefu kama kweli uraisi ni kazi...