NEC igeni CCM jinsi ya kuhesabu kura. CCM mmeonyesha mfano

NEC igeni CCM jinsi ya kuhesabu kura. CCM mmeonyesha mfano

Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Mtakuja na sababu kuwa ni recorded...
 
Kama wanafanya vizuri kwenye kura zao kwanini WASHINDWE kufanya vizuri kwenye kura za uchaguzi Mkuu!? Mambo yote yawekwe hadharani bila woga wala kificho. Kama Malawi wameweza na Tanzania pia TUNAWEZA.
Unataka yatokee ya Kigamboni😂😅?
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
😂😂😂😂😂😂 Naam Nchi ilipuke kwa furaha kubwa tukeshe na kufanya parties kwa wiki nzima tena mtaani tu.

Unataka yatokee ya Kigamboni😂😅?
 
Unaelewa maana ya HADHARANI au umeamua KUKURUPUKA TU!? Kama kuna watu, vyombo vya habari mbali mbali vya ndani na nje kuthibitisha ilikuwa HADHARANI tena LIVE, kwanini tena tugeuke? 😳😳😳

Mtakuja na sababu kuwa ni recorded...
 
Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Tunaolalamika nchi haindeshwi vizuri, malalamiko yetu ni vs individuals ktk uendeshaji, au mfumo mzima?

Kama ni mfumo, tusihadaike na huku kuangushwa individuals. Inaweza kuwa ni distraction tu, tuache kufikiria the bigger picture. Bashites wakitoka mfumo upo tu.

Tujihadhari
 
Mh Rais Magufuli ni mzungu na ni msikivu kwetu wana ccm , tunamsihi sasa aendeleze utaratibu huu mpya wa kusimamia haki na ukweli kwa uwazi , utaratibu ambao unampa Magufuli credit kumzidi Nyerere katika uzalendo na sasa aamuru uchaguzi mkuu pia kura zihesabiwe vituoni live mbele ya wapiga kura sababu zifuatazo

1. Magu atapata wabunge na madiwani watakaopita kwa haki nao wakipata vyeo watatenda haki , haki hujenga haki!

2. Magu yeye ashapita bila kupingwa hana mpinzani na hana sababu ya kuzuia hilo ni just kuamuru tu!

3. Kuhesabu kura za uchaguzi mkuu live ni jambo bora linaloakisi nchi yetu kuingia uchumi wa kati ambako huendana na watu kukua kifikra na kidemokrasia, hatuwezi kuwa matajiri halafu bado tumejawa ujinga wa kudhulumiana kura!

4 . Logically hakuna sababu kuwahimiza watu kupiga kura halafu kura walizopiga zihesabiwe gizani kwa siri kama ni hivyo si tume ikae yenyewe tu na kukadiria? ikitangazwa kura zitahesabiwa vituoni live wapiga kura watakuwa mara tatu ya wanaopiga kura kwasasa!! watu wengi mimi mmojawao huwa sipigi kura!!
 
😂😂😂😂😂😂 Naam Nchi ilipuke kwa furaha kubwa tukeshe na kufanya parties kwa wiki nzima tena mtaani tu.
Acha tu yani sijui km itawezekana but lets wait and see
According to interview ya Zitto BBC Upinzani looks like wanaweza kuwa kitu kimoja na thats the only thing inayoweza wasaidia, otherwise tunarudi kuwa nchi ya chama kimoja tuu..
 
Sasa huoni nilichokiandika kimekuwa directed kwenye BIG PICTURE ya October 2020!? 😳

Tunaolalamika nchi haindeshwi vizuri, malalamiko yetu ni vs individuals ktk uendeshaji, au mfumo mzima?

Kama ni mfumo, tusihadaike na huku kuangushwa individuals. Inaweza kuwa ni distraction tu, tuache kufikiria the bigger picture. Bashites wakitoka mfumo upo tu.

Tujihadhari
 
(1) NEC igeni CCM jinsi ya kuhesabu kura. CCM mmeonyesha mfano | Page 3 | JamiiForums
Naam ndiyo hilo tunalolitaka la kuondoa KIWINGU.



Mhhhh sijui aisee

Ila ikiwezekana hata alieshindwa hatokua na kinyongo

Kama DAB leo asemeje wkt kura kahesabu mwenyewe?
 
Weee NEC hawahawa au wa nchi jirani, kama u haguzo wa NEC ungekua wa CCM peke yake basi wangehesabu kama kigamboni, ila kumbuka kuna vyama pinzani, unataka mwenyekiti aaibike hadharani wewe
(1) NEC igeni CCM jinsi ya kuhesabu kura. CCM mmeonyesha mfano | Page 3 | JamiiForums
Naam ndiyo hilo tunalolitaka la kuondoa KIWINGU.

 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kama wanafanya vizuri kwenye kura zao kwanini WASHINDWE kufanya vizuri kwenye kura za uchaguzi Mkuu!? Mambo yote yawekwe hadharani bila woga wala kificho. Kama Malawi wameweza na Tanzania pia TUNAWEZA.
Kenya pia nimeona mwenyewe Citizen TV huwa wanaonesha live upigaji kura na kuhesabu , masanduku ni meupe yako katikati ya room unaweka kura inaonekana umeweka moja , wanazimwaga na kuhesabu nchi nzima wanaona mubashara!!

Nyerere mwenye utaratibu wa kuficha kura na kuiba ashakufa tuko huru na Rais mzungu tufanye yetu sasa yeye alituacha tukiwa wajinga tunaumwa na maskini wa mwisho duniani leo tumeingia uchumi wa kati, tumewapita Kenya kukua kwa uchumi 6.8 versus 5.6 , tukatae fikra zake zote kuhesabu kura gizani na ujamaa ambayo ni ideology ya kipumbavu inayohimiza kuajiriwa badala ya kujiajiri!!
 
Naam ndiyo hilo tunalolitaka la kuondoa KIWINGU.



Mhhhh sijui aisee

Ila ikiwezekana hata alieshindwa hatokua na kinyongo

Kama DAB leo asemeje wkt kura kahesabu mwenyewe?
Weee NEC hawahawa au wa nchi jirani, kama u haguzo wa NEC ungekua wa CCM peke yake basi wangehesabu kama kigamboni, ila kumbuka kuna vyama pinzani, unataka mwenyekiti aaibike hadharani wewe
 
Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Kukata mzizi wa fitna walete kura za kielektronic tu mtu yupo simuiyu akipiga tu huku inasoma hapo ndio watasema maji mma
 
(1) NEC igeni CCM jinsi ya kuhesabu kura. CCM mmeonyesha mfano | Page 3 | JamiiForums
Naam ndiyo hilo tunalolitaka la kuondoa KIWINGU.


Hilo mnalolitaka endeleeni nalo wale jamaa watakuja na mbinu zao
 
Hizo ni bomu Mkuu watu wanacheza nazo unampigia kura A lakini kura yako inaenda kwa B. Nakumbuka uchaguzi mmoja wa USA wapiga kura walikuja juu sana baada ya kugundua hitilafu hiyo sijui kama waliweza kuirekebisha.

Kukata mzizi wa fitna walete kura za kielektronic tu mtu yupo simuiyu akipiga tu huku inasoma hapo ndio watasema maji mma
 
Back
Top Bottom