Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyetaka utengenezwe ufalme wa Kisukuma naye chaliiiiMambo hadharani
Huko anatakiwa ahesabu jecha pekeyake.Wafanye hivyo hadi Zanzibar
Swali fikiri hizi teuzi karibia na uchaguzi mkuu zinaashiria niniHaitakaa itokee. Wakifanya hivyo wataibaje kura?
😆😆😆😆Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Ile sheria ya wananchi kukaa mbali mita 200 kutoka kwenye sanduku la kura imefutwa?Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
👏👏👏 Bravo. Inawezekana ikawa hivyo.Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Ccm hawathubutu huo mchezo
Nchi ngapi Afrika zinatumia mfumo huo ?Kukata mzizi wa fitna walete kura za kielektronic tu mtu yupo simuiyu akipiga tu huku inasoma hapo ndio watasema maji mma
|Watapigwa balaaHaitakaa itokee. Wakifanya hivyo wataibaje kura?