Kukata mzizi wa fitna walete kura za kielektronic tu mtu yupo simuiyu akipiga tu huku inasoma hapo ndio watasema maji mma
You are right BAK, Dawa ya hii ni kulilia tume huru ya uchaguzi, itakua ndio pona yetu
Kwani si kunakuwaga na mawakala wa vyama katika kuhesabu kura! Ina tofauti na kura kuhesabiwa hadharani?
Unamaanisha. NATIONAL ENVIRONMENTAL COUNCILThubutu.
Kabisa Mtende tukiipata hiyo basi mchezo umekwisha wa kungβangβania madarakani kwa njia haramu. Next ni kubadili katiba ili kuondoa vipengele vya kipuuzi vinavyompa Rais madaraka makubwa sana, kuminya uhuru na haki ya raia, vyombo vya habari na vyama vya upinzani. Rasimu ya tume ya Warioba itatufaa sana.
Tuombe iwe mwaka huu Mtende.
No mkuu hizi nyingine nyingi hua ni stori za vijiweni na kauli za walioshindwa. 2015 nilikuwa Long Term Election Observer(LTO) chini ya LHRC. Niliona mengi na mojawapo ni kuwa anaeshinda/kushindwa inakuwa ni halali kabisa.Hujawahi kusikia MIKWARA wanayowekewa mawakaka wa upinzani? Hatukujui huruhusiwi kuingia humu, hizi paper za utambulisho wako zina kasoro hivyo hatutakuruhusu kuingia. Mchezo umekwisha maccm yanapeta. Kama hadharani ni muhimu kwa maccm kwanini hadharani isiwe muhimu pia October, 2020!?
No mkuu hizi nyingine nyingi hua ni stori za vijiweni na kauli za walioshindwa. 2015 nilikuwa Long Term Election Observer(LTO) chini ya LHRC. Niliona mengi na mojawapo ni kuwa anaeshinda/kushindwa inakuwa ni halali kabisa.
We endelea kuwaamini wanasiasa ambao imeshakuwa proved mara kibao ni ndumilakuwili. We unadhani huyu mzee hatawanadi wagombea wa chama chake hata kama hiyo tume huru haitakuwa imepatikana! Mi naongea kwa experience tena ya field so kila mmoja aamini anachoamini.Si kweli vinginevyo Mkapa asingeona sababu ya kutoa kauli kama hii kwa hadithi za VIJIWENI. Haridhishwi na mwelekeo wa Nchi ndiyo sababu anataka kuona Uchaguzi ni HURU na wa HAKI kwa vyama vyote. Na kwa kauli hii inaonyesha Mkapa HANA IMANI na tumeccm.
View attachment 1512120
We endelea kuwaamini wanasiasa ambao imeshakuwa proved mara kibao ni ndumilakuwili. We unadhani huyu mzee hatawanadi wagombea wa chama chake hata kama hiyo tume huru haitakuwa imepatikana! Mi naongea kwa experience tena ya field so kila mmoja aamini anachoamini.
Likitokea hili chini ya fisiemu bila tume huru na katiba mpya... Tanzania itakuwa nchi ya asali na maziwaNIna maswali yasiyo na majibu, je Magufuli ataweza kusimamia na kutekeleza anacho kifanya kwa wana ccm kama kuhesabu kura hadharani na kutangaza papo hapo walioshinda?