Uchaguzi 2020 NEC imecheza ngoma ya Tundu Lissu. Je, Wagombea walioenguliwa Ubunge Tume itawarudisha?

Hivi inakuwaje kwa nchi yenye umri wa miaka 60 wagombea wa nafasi ya ubunge na udowani wanapita bila kupitwa?
 
Naam. Pingamizi za Chadema dhidhi ya wagombea urais wa ccm na cuf yana msingi wa kisheria lakini ni mambo madogo madogo yanayozungumzika. Tume iko sahihi kuyaweka kando. Sidhani kama mweka pingamizi aliamini kuwa yatapita. Bila shaka alitaka kuonyesha kuwa sisi ni binadamu tunaokosea na tusihukumiwe kwa makosa mengine ambayo ni madogo sana. Changamoto ni kwamba kule chini wagombea wa upinzani wameenguliwa kwa sababu hizo hizo; au nyepesi kuliko hizo na wakati mwingine kwa dhuluma iliyo wazi na inayoratibiwa na vyombo vya serikali. The ball is in NEC's court.
 
Lisu ni muongo na mzushi
Mashabiki wake mnaplekwa kama wajinga
 
Lisu kawageuza mandondocha kabisa nyie
Hizi hapa siyo picha ama ni nini?
 

Hata tukiutumia mtazamo huu, bado tume imejiweka pabaya. Watanzania hawana muda wa kusoma maelezo na vifungu kama ulivyofafanua. Ni kwa kutumia mwanya huo TL anaonekana bingwa kwasababu alifafanua kifungu kwa kifungu na wananchi wakamwelewa. Ili kujibu hoja hizi na kueleweka kwa umma Tume ilipaswa kutokukurupuka kujibu. Maana hata aliyeweka pingamizi alikuwa anajua fika kuwa pingamizi lake halitakubaliwa, lakini umma utabadirishwa fikra zao na katika hili kafanikiwa. Sasa ili fikra za umma zirudi ktk mstari, na kuifuta kabisa hoja hiyo ufafanuzi kama huo ulioutoa ilipaswa utolewe na tume. Hoja hujibiwa kwa hoja.
 
Hii ni aibu, tuna mgombea Urais anayedhani Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni jengo lililopo Dodoma 😂😂
 
Ninachojiuliza hivi ni kwanini kila wakati tunasikia wameenguliwa wangombea wa upinzani tu?? Na au wapita bila kupingwa wagombea wa CCM tuu???
Bro iyo ni kama kwenye soccer, defender akimfanyia foul striker referee anatoa penalty lakini striker akimfanyia foul defender inakua tuu free kick..SASA ktk uchaguzi chama kinachokua madarakani mara nyingi kinakua ktk advantageous position (penalty box) kinashambulia na Wapinzani wanakaba, kosa kidogo tuu penalty inapigwa kwenda upinzani, na mara nyingi mechi inachezwaga nusu uwanja upande wa Wapinzani, so ni Ngumu penalty itokee sehemu mpira hausogei kabisa. Nadhani umenielewa.
 
Shida ya Bawacha ni kusaidiwa kufikiri hebu wasikilizeni NEC walivyo wajibu! Lissu ni muongo wa kutupwa
Hawawezi kuelewa hawa. Wakimuona mtu anafoka na kuongea kwa msisitizo wanahisi ana pointi.
 
Itakuwa ngoma ya kienyeji ambayo nec kuicheza wameona ni upumbavu
 
Mkuu unachosahau ni kuwa maelekezo ya tume hayatakiwi kukiuka sheria ya uchaguzi. So hoja yako ya utetezi ni dhaifu na haiko kwenye mizani za kisheria
 
Mkuu unachosahau ni kuwa maelekezo ya tume hayatakiwi kukiuka sheria ya uchaguzi. So hoja yako ya utetezi ni dhaifu na haiko kwenye mizani za kisheria
Sheria ya Uchaguzi inaipa Mamlaka Tume kukasimu baadhi ya majukumu yake kwa Wasimamizi wa Uchaguzi. Sasa Sheria gani imekiukwa hapo
 
CCM haiwezi kukwepeshwa na wewe, CCM hutoa maelekezo nayo ni "nimekuteua mimi mshahara na mengineyo nakupa mimi, ole wako nikusikie umemtangaza upinzani kuwa ameshinda" halafu wewe unaitetea CCM!
 
Broo unaakili yakuzaliwa lkn unakosea kitu kimoja tuu sijui kwanini umo ktk kundi la watekaje
 
Sheria ya Uchaguzi inaipa Mamlaka Tume kukasimu baadhi ya majukumu yake kwa Wasimamizi wa Uchaguzi. Sasa Sheria gani imekiukwa hapo
Sheria namba 32:1 ya uchaguzi
 

Kwa hiyo unasemaje?

Kwamba, wagombea udiwani na ubunge waliondolewa using the same ground wafanyweje?

Ni vyema wakarudishwa, right?

Yes. Kwa sbb kwa maelezo ya NEC na sababu za wasimamizi wa uchaguzi majimboni na katani kuwaengua baadhi ya wagombea ubunge na udiwani, obviously, hazisimami tena....

Mwisho, Tundu Lissu na wengine wote kina sisi huku we knew exactly kuwa, mgombea wa CCM Ndg John Pombe Magufuli hata kama angekuwa amevunja/kiuka sheria na kanuni za uchaguzi kwa kiwango gani, ASINGEWEZA KUHUKUMIWA KINYUME NA ILIVYOFANYIKA...!!

Lakini, kwa upande mwingine TL ame - achieve alichotaka kuki achieve...

Huu ni umahiri wa hali ya juu sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…