Uchaguzi 2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

Uchaguzi 2020 NEC imekubali rufaa nyingine 13 na kurejesha wagombea, rufaa nyingine 14 za walioteuliwa zimekataliwa

Tume siyo kipimo cha uzuri wa mgombea, wao ni wasimamizi wa uchaguzi siyo wasimamizi wa form za wagombea.

Kama mgombea ni mtanzania na ana uri wa miaka 18 na anajua kusoma na kuandika arejeshwe agombee wananchi ndio tuamue.

Kazi ya uteuzi wa vyeo wamuachie Magufuli. Anasema ana mavyeo mengi ya kugawa.
 
Hii tume imejaa wapumbavu na wachimvi akiwemo mwenyekiti wao.

Huwezi ukakaa na rufaa za wagombea siku 10 na kampeni zinaendelea kwenye majimbo husika.

Huku siyo kutenda haki ni kuwapumbaza wananchi kwamba wanatume wakati ni genge la wahuni tu.

Hii tume kama kweli tuna uchungu na nchi ni heri tukawafukuze wote kwenye ofisi yetu ya umma waende zao huko majumbani kwao.

Wasitufanye sisi ni wajinga.
 
Ni vyema warejeshwe tu wote, kupita bila kupingwa karne hii ya 21 ni kichekesho.
 
Hawawezi kuwarudisha wote kizembe hata wale waliochafua form kwa makusudi baada ya kula mpunga wa watu.

Lets wait and see baada ya uchambuzi kukamilika kwenye rufaa zote
Ndo maana tunasema tume sio huru, mafanikio ya tume hayawezi
kuwa kuengua wagombea kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.Tume iengue wagombea kwa kutumia katiba na sio kanuni.mgombea akikosea kujaza fomu ajazishwe nyingine.Waamuzi wawe wananchi kwenye sanduku LA kura.
 
Huyu atleast ana guts za kutengua walichoamua maDED. Zamani kidogo ilikuwa ndoto. DED akishapiga spanner, NEC huko juu walikuwa wanabariki tu. Mwaka huu kuna changes kidogo...angalau mpaka sasa
Kwanza hakuna mgombea aliyeenguliwa kishenzi hivyo kwenye uchaguzi mkuu 2015 na chaguzi zingine za nyuma.

Huyu mkurugenzi anaonekana yuko biased waziwazi tu hata viongozi wa vyama anagoma kuwasiliana nao.

Huko majimboni wakurugenzi hawatoi ushirikiano na wagombea wa vyama vingine hovyo hili litume la kishenzi.
 
Hakuna namna ni vyama kunadi sera tu. Nauona ugumu ya chama chochote kubebwa. Huu uchaguzi unakuwa mgumu tofauti na miaka ya nyuma na kama tulivyotarajia. NEC hawana namna zaidi ya kutenda haki.

Nawashauri kuwaweka sawa wasimamizi majimboni kuepuka ghalama za kurudi uchaguzi pale rufaa zitakapokatwa kupinga matokeo. Hali sio kabisa nadhani kuna shinikizo kali kutaka haki itendeke kule Control room.

Kwa hali ya kawaida waliokatwa ilikuwa imetoka kuwarejesha lazima tujiulize kulikoni.
 
Kutokana na kuwana uenguliwaji mkubwa sana wa wagombea ubunge mwaka huu na baadhi yao kushinda rufaa huko NEC tujiulize je mchakato huu bado ni salama?

1.Kama tulivyoona wakati wa uchaguzi wa Kenya Odinga alikaata kwenda kwenye uchaguzi iwapo tume haitabadilika

HIVi kama mkurugenzi alimwengua mbunge kwa uonevu itamfanyia haki kwenye mchakato kweli?

Kumbuka pia uchaguzi wa marudio znz 2016

Je, waliorudishwa na NEC wanaweza kushinda?
Je, hata akishinda atatangazwa?
Je, akishindwa atakubaliana na matokeo?
 
Back
Top Bottom