Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Kumkata lissu ni uhuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaulize TumeMbona wamemruka lisu na huku yeye ndo aliokuwa anafata kwa kujibu wa ratiba..??View attachment 1547638
Mbona hofu sana, just rilaxx.Hizi ni kutaka kumakata, kama ilivyotabiriwa na hotuba yake!
😂😂😂😂 Ingia barabarani kamanda msikubali..Now why the delay? There is something fishy behind! Kaijage take care, itaitumbukiza nchi hii kwenye matatizo makubwa!
Loketo inawezekana kaja na begi tupu hajabeba forms.As expected, watamfanyia figisu kumkata.
Kawaulize TumeChadema mbona hawaitwi?
Hatari sanaHii tume nayo ni Lofindo tu
unaona trend!Mbona hofu sana, just rilaxx.
hata baba yako ni Loketo!Loketo
Kawaulize Tume
Inaelekea Rungwe na Lissu wamekatwa ?Rungwe nae alisema ataleta ubeche mashuleni isije ikawa imeonekana kama kampeni kabla ya muda.Mbona wamemruka lisu na huku yeye ndo aliokuwa anafata kwa kujibu wa ratiba..??View attachment 1547638
Why Lisu on hold? Wanataka kumkata Lisu, this was long said by observers!
Its not fair yaani
Mbona kwenye uhakiki hakuna kipengele cha kampeni mapema dadaInaelekea Rungwe na Lissu wamekatwa ?Rungwe nae alisema ataleta ubeche mashuleni isije ikawa imeonekana kama kampeni kabla ya muda.
bado hajaitwa hadi sasa yupo waiting room mkuuWakuu kamanda wetu lissu, amefika wapi
Nina hasira kifuani, nahisi hilo jengo la nec nataman kulilipua kabisa
Muulize huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ingia barabarani kamanda msikubali..
Kwani Kigogo anasemaje?
Kuna sheria ya kumuondoa mgombea kisa kaanza kampeni kabla ya muda?Inaelekea Rungwe na Lissu wamekatwa ?Rungwe nae alisema ataleta ubeche mashuleni isije ikawa imeonekana kama kampeni kabla ya muda.