Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,694
Wananchi wa vijiji viwili vya nyamikoma na kamwanga vilivyopo Mkoa wa Geita wilaya ya Geita vina zaidi ya kata 4400 havijawahi kupata barabara ya gari.........
Vijiji 2 vina zaidi ya kata 4400!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wa vijiji viwili vya nyamikoma na kamwanga vilivyopo Mkoa wa Geita wilaya ya Geita vina zaidi ya kata 4400 havijawahi kupata barabara ya gari.........
Wanyonge = wajinga , wapumbavu na malofa.Watz kuweni wazalendo huyu ndio rais wawanyonge
We ndio hujui hata unachokitetea.Wakati mwingine ni ngumu kutenganisha, ...
Hapo angekua lissu na makamanda wenzake, wangeanza kutoa vitisho kwa mwenyekiti wa tume yaani makelele na kauli za patachimbika. Lakini ccm wamekua na hekima sana. Watulivu na wazalendo.Nilipenda sana.. wana CCM walivyokukuwa na.. utulivu na usikivu kama kawaida yao.. leo mbele ya viongozi wa tume..
Walidamushi sana Rais na Makamu wake..
Magufuli 2020💯
Bro relax utaumiza kichwa bure kwa mambo yanayoendelea nchi hiiHivi TBC ni Tv ya CCM au ya umma?
Hivi inakuwaje pesa za walipa kodi zinafanya mambo ya chama tawala tu inashindwa kufanya mambo ya vyama vingine...
Huu ndio uhuni anaousema Tundu Lissu Kila siku.
Pesa za umma kutumika pasipo ridhaa ya Wananchi.
Lissu amewekeza Facebook na Citizen tvHiyo live coverage inaendelea hadi kwa Lissu?
Who will win mkuuMagufuli ajitoe tu Kwenye Uchaguzi wa mwaka huu sababu hatashinda Uchaguzi na akilazimisha Nchi itaingia katika machafuko ya kisiasa na hatimae waburuzwe mahakamani kwa uhalifu dhidi ya binadam.
Hakika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu tutasikia na kuona mengi. Kwa mfano wako technically[URL] umeweka Sera za ch...angu lini? Hivi ni kweli? Kwa sababu gani? NkHivi TBC ni Tv ya CCM au ya umma?
Hivi inakuwaje pesa za walipa kodi zinafanya mambo ya chama tawala tu inashindwa kufanya mambo ya vyama vingine...
Huu ndio uhuni anaousema Tundu Lissu Kila siku.
Pesa za umma kutumika pasipo ridhaa ya Wananchi.
My frnd ur dreaming wisely.....December 2020- February 2021 kutakuwa na kesi yenye mvuto sana kwa wananchi ikihusu watendaji wa umma.
Kesi hiyo Mshtakiwa atakuwa Dr Ayub Rioba ya "Matumizi mabaya ya Ofisi ya Umma"
Huo utakuwa mwanzo tuu, zitakuwepo na zingine zitakazo wahusisha Sirro, Mambosasa, baadhi ya maDC, watumishi wa Tume wakiongozwa na jaji Kaijage nk.
Watu wakae chonjo
Ni yeye pekee ndo kateuliwa ?Kina Lissu je ?Ila JPM kuteuliwa sio habari maana ilikuwa inafahamika lazima ateuliwe. The big habari ni Lissu je kateuliwa?Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli arejesha fomu za kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa Jijini Dodoma. Ameongozana na Mgombea Mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan.
M/kiti wa NEC, Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwa mamlaka aliyopewa amemteua Dkt. John Pombe Magufuli kuwa mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mama Samia Suluhu kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia CCM na kukabidhiwa seti za fomu na nyaraka muhimu kuwa kumbukumbu kwao.
Kwani wagombea ni Magufuli na Lissu tu? Ficha ujinga wakowamkamate Lissu asirudishe fomu, ili jamaa apite bila kupingwa./
HakikaLissu akirudisha fomu ni habari, ila za huyu aliyeteka vyombo kwa miaka 5 mfulilizo , haina mvuto
Watz kuweni wazalendo huyu ndio rais wawanyonge
Acha uwongo.. munapenda kulalamika tu.
Upinzani wao banapenda Twitter.. baendelee.. ruzuku wamekula viongozi.. ofisi za kudumu za Chadema na wengine hawana.. hao sio watulivu.. ni wafanya fujo tu kushiba matumbo yao..
sera hawana.. hawavutii hata watu wa media.. wakitaka kusema ngonjera na mipasho.. ndiwo wanaita media na kuwaomba wafike.. walipo..
Tulia.. demokrasia.. sio kusingizia pande moja.. uwongo.. huku upinzani futi sita.. ni wao walivyo.. tena babaya sana.. matumbo mbele..
Hivi huyo mbwekaji mnamuona wa maana sana anastahili live coverage. Si akajikave live whatsapp.Hiyo live coverage inaendelea hadi kwa Lissu?
Katafuta wadhamini kimya kimya pamoja yeye ndio rais wa nchi lakini wakina kajamba nani sasa ......kila kona kumchafua utasema hicho ndio walichotumwa na nec
Ikifikia muda huo betri itakuwa imeishiwa nguvu watazima. Au watakuwa lunch.Hiyo live coverage inaendelea hadi kwa Lissu?
Hivi wewe mtoto wako akianza kukutukana na kukuhubiri mabaya kwa majirani utaendelea kumujali Kama mtoto wako kweli au utamupuuza na kumuacha ajitegemee Sasa.Hivi TBC ni Tv ya CCM au ya umma?
Hivi inakuwaje pesa za walipa kodi zinafanya mambo ya chama tawala tu inashindwa kufanya mambo ya vyama vingine...
Huu ndio uhuni anaousema Tundu Lissu Kila siku.
Pesa za umma kutumika pasipo ridhaa ya Wananchi.
Tatizo wewe Ni mrundi hivyo hujui lolote kuhusu Tanzania yetu.TBC walipaswa kuwa live kwa wagombea wrote, kitendo cha kubagua sio saws.rai yangu time wawateue wagombea wrote wenye sifa.Umma utaamua kwenye sanduku LA kura.
Mwambie atoke kwa hawala yake huko alikojipeleka kutekenywa arejee fomu ili aingie ulingoni,, hatutaki Uoga wa kisiasa huu kwa kisingizio Cha kutekwa.Mwenyekiti wa CHADEMA Morogoro, dereva wa mgombea Ubunge wa Morogoro mjini Bi Devotha Minja wamekamatwa na Polisi muda huu huku mgombea huyo akisakwa.
Inadaiwa gari yake pia imekamatwa na ilikuwa ni katika harakati za kumteka ili asirejeshe fomu ya ugombea leo.
Maelezo haya ni kwa mujibu wa yeye Devotha Minja ambaye yupo mafichoni.