NEC: Jina la Tundu Lissu liko mwisho wa karatasi ya kupiga kura kwasababu alirejesha fomu akiwa wa mwisho

Kwani inabadilisha nini mgombea kuwa wa kwanza au wamwisho? Pigeni elimu ya uraia jinsi ya kupiga kura, tatizo menu kucha kutwa mnalalamika mitandaoni, fundisheni wanachama wenu jinsi ya kupiga kura!
 
Huyo hata angewekwa wa kwanza tungemchinja tu

Watanzania hawawezi kupigia kura msaliti wa nchi
 
Hawa watu wanachekesha sana.
 
Kwani inabadilisha nini mgombea kuwa wa kwanza au wamwisho? Pigeni elimu ya uraia jinsi ya kupiga kura, tatizo menu kucha kutwa mnalalamika mitandaoni, fundisheni wanachama wenu jinsi ya kupiga kura!
Aisee Lazima utambue hiyo kitu sio ndogo kama unavyoichukulia wewe!
Watanzania wengine hawana elimu, kuna wasiojuwa kusoma, hivyo kulitafta jina la Mgombea ni kazi kidogo, Lakini kama mgombea jina lake ni la kwanza wewe huoni ni rahisi tu mtu akafika chumba cha kwanza na kutia alama ya tik hata bila kusoma??
 
Kwa hiyo ukiwa wa mwisho na tarakimu za jina lako zinajifuta kutoka A Hadi inasoma Z?
Tena ni mtu eti msomi aneyetoa ufafanuzi kwa wapiga kura.
Kama ndiyo hivyo hakuna faida ya kusoma.
Tume ccm
 
Time Haina sababu ya kutupa ufafanuzi, kuna ile sababu waliyoema mgombea akifanya kosa jina lake litaondolewa kwenye orodha, nilihoji he hizi karatasi zitachapishwa mwisho wa kampeni?

Ilipotoka karatasi husika na kuna liko mwisho nikajua wamerahisisha kuikata karatasi na wasiathiri orodha ya majina mengine, kumbukumbu ya walivyokuwa wanaitwa bado tunayo.
 
Sababu hazina mashiko hata kidogo
Ulitaka watoe sababu ipi mkuu uridhike?
😂😂
Sjawahi kufauru mtihani wa kujua bongo za vijana wa Chadema

Sjui ni vichaa na wendwazimuuu..ama ni wazima!!

Mungu saidia hawa wenzetu angalau wajitambue kuwa nao ni binadamu
 
Tunashukuru kwa ufafanuzi
 
Kuchunguza namna Ubongo wa vijana wa Chadema unavyofanya kazi, ni kazi moja ngumu kuwahi kutokea

Unadhani wangetoa sababu ipi Ili uridhike?
 
Hata Daudi alipakwa mafuta kuwa mfalme mwishoni kabisa.

Hawa NEC si ndio walitoa ratiba ya kwenda kuchukua form na kuzirejesha? Hawaoni kwamba bado wanajikaanga kwamba walipanga hivyo kwa makusudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…