Mkuu uko vizuri kwenye reasoning. Tatizo hili limekaa tofauti na walivyofikiri, sasa kila kinachotengenezwa kinaacha maswali.Hii taarifa ingekuwa na uzito kama ingetolewa kabla ya kuwateua au mara baada ya kuwateua. Na kama barua ilikuwepo, Esther Matiko alipohojiwa angesema Katibu Mkuu wake, sio Mamlaka husika. Inafanya watu wakumbuke mambo yalivyokuwa Ubungo.
Amandla...
Mchakato mzima una maswali mengi yasiyojibika.Unaelewa kuwa sheria inakataza kupeleka NEC jina la viti maalum ambae yupo mahabusu tena kwa kesi ambayo haina dhamana?Kwa nini NEC wapokee jina la mtu ambae yupo mahabusu kwa kesi ambayo haina dhamana?
Inaonekana kuna wakati hukuwa hewani kwenye kufuatilia haya mambo au kiasi fulani hujui. Kumbuka asilimia kubwa ya hao walioapa walikua wagombea wa majimbo. Ingekuwaje majina yapelekwe mapema wakati wa kampeni na wakati huo huo wako majimboni?Nahisi vyama vyote vilituma majina ya wabunge wa viti maalum hata kabla ya uchaguzi, kulikuwa na mawasiliano hayo napia kujaza form, sasa baada ya uchaguzi kwenda ndivyo sivyo na speaker kuhitaji majina ya wabunge wa viti maallum bila mafanikio basi NEC ikawa imeteua na kumpatia speaker, so labda tuulize kuwa nani huteua wabunge wa viti maalum?
NEC kupitia orodha waliotumiwa au chama chenyewe? kama ni NEC basi uongozi wa chadema hauna kosa kwa sabu list ile ni muda kabla ya uchaguzi na walifanya vile kutimiza matakwa ya sheria za uchaguzi, bado chadema kama hawataki wangewaambia hao walioteuliwa kutokuapishwa na hata sasa inaweza kkuambia wajivue , sasa ni utashi wa mbunge husika kukubali au kukataa.
Tatizo lenu mnawaamini Sana viongozi wa chadema kana kwamba wao ni Malaika hapana
NEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020.
Nadhani labda utupe utaratibu wa huyu wa kutoka gerezani Singida alifikaje Dodoma? (ukiachilia mbali mchakato wa kutolewa, maana hilo najua hutoweza kutoa majibu). Labda huyo ndiye anasemwa kusafirishwa na TISS kwenda Dodoma kuapa.Tatizo lenu chadema mnaongea vitu bila kujua,
Sasa ngoja nikwambie, kila mbunge alipigiwa simu awe dodoma na akaenda kwa gharama zake
Siku ya jmosi walikutana ilazo mashineni kwa mbunge mmoja simjui Jina lake hapo ndio wakaambiwa ishu ya ubunge na wakapewa form kutoka nec
Hakuna tiss wala tass Aliehusika kusafirisha Hao waheshemiwa
Au unataka nikupe picha uone Mpaka wakati wako kisasa?
Boss hakuna kitu tiss imefanya trust meNadhani labda utupe utaratibu wa huyu wa kutoka gerezani Singida alifikaje Dodoma? (ukiachilia mbali mchakato wa kutolewa, maana hilo najua hutoweza kutoa majibu). Labda huyo ndiye anasemwa kusafirishwa na TISS kwenda Dodoma kuapa.
Bado kuna watu hawatakuelewa.Kweli nimeshaanza kuwaamini CDM 100% kwenye hili,Tume wanasema CDM walipeleka majina tarehe 19 wakati huo huo kupitia chombo kimoja cha habari siku iliyofuata yaani tarehe 20 tume ilikana kupokea majina kutoka CDM.Hapa tume inawalakini.
Nenda front basi sio unapiga kelele jf tuserikali iliyoingia kwa kura feki haioni kosa kutengeneza nyaraka feki.
Walipokataa ilikuwa lini na majina wamepelekewa lini?
Taifa letu limejipambanua Kama ni genge la watovu la nidhamu. Kila mtu anafanya lake kama mji usio na mjumbe.NEC: Tulifanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum baada ya orodha ya majina hayo kuwasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA 19 Novemba 2020.
Nenda front basi sio unapiga kelele jf tu
Huu ni utoto ndugu.
Nasoma mawazo yenu mfuWewe unafanya nini hapa, si unapiga kelele pia!
Hujalazimishwa kusoma michango ya watu.
Nasoma mawazo yenu mfu
Wazee wa kudai mambo ambayo mnajua hayawez kutekelezwa
Uko serious??? Au unatania. Hivi NEC ni nini kwako? Nadhani labda lugha yako sijaipata, hapa lazima ni joke hii.Ile iliyokana kupokea majina ni NEC,
Hii iliyopokea majina tarehe 19/11/2020 ni Tume, huoni hata matamshi ni tofauti kabisa hapo mkuu.
Ndio shida ya kuzoea FacebookWewe nani kama sio bwege tu.
Akili yako ndio imeishia hapoNyie mapimbi wakati Mnyika anawasisha majina hamkuchukua hata vidio ? Njia muongo fupi Sana tilioni wafadhili wanajua kila kinachoendelea hazitoki jamani .