Nahisi vyama vyote vilituma majina ya wabunge wa viti maalum hata kabla ya uchaguzi, kulikuwa na mawasiliano hayo napia kujaza form, sasa baada ya uchaguzi kwenda ndivyo sivyo na speaker kuhitaji majina ya wabunge wa viti maallum bila mafanikio basi NEC ikawa imeteua na kumpatia speaker, so labda tuulize kuwa nani huteua wabunge wa viti maalum?
NEC kupitia orodha waliotumiwa au chama chenyewe? kama ni NEC basi uongozi wa chadema hauna kosa kwa sabu list ile ni muda kabla ya uchaguzi na walifanya vile kutimiza matakwa ya sheria za uchaguzi, bado chadema kama hawataki wangewaambia hao walioteuliwa kutokuapishwa na hata sasa inaweza kkuambia wajivue , sasa ni utashi wa mbunge husika kukubali au kukataa.