Kupitia aina ya madudu na upambavu wakati na baada ya uchaguzi sijivunii uanachama na upenzi wa ccm, serikali na nchi hii, Ni ushamba, upambavu, ubabe wa kijima, ni aibu na huzuni kubwa sana sana. Ubabe na dhuluma za kishamba ni sumu kwa Taifa.
Niwape pole wapenda demokrasia na amani, Mungu kwa hakika atatoa hukumu stahiki ndani ya miaka mitano hii hamna hati miliki ya uhai na mambo mengine yote, naamini wazee wetu ndani ya ccm na waandamizi wastaafu mioyo yao ina mshangao, huzuni na tafakari isiyoisha. Why? is it about third term seeking strategy?
With third term plan constitutionally someone is purely dreaming mythically. Eeh Mungu umetulinda na tulinde na nchi yetu daima pasipo kuchoka. International community are you asleep? We hope the international community will vehemently say something soon. Tanzania, haki, usawa, demokrasia, utu ni vya msingi kuliko manufaa binafsi yoyote yale.