NEC yatangaza Uchaguzi mdogo kwenye Kata tatu

NEC yatangaza Uchaguzi mdogo kwenye Kata tatu

Kusema amejenga kiwanja cha ndege kijijini kwake kwa fedha za umma ndio tusi au kusema serikali yake inaongoza kwa kuteka watu na kuwauwa nalo ni tusi.
Kwa nini sasa anauwa wananchi anaopaswa kuwaongoza.
Ameua mwananchi gani?
 
Tume ya Taifa ya uchaguzi(NEC) imetangaza uchuzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyika wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.

View attachment 1626034
View attachment 1626035
Matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.
Wawape CCM bishara ikate.
Mna kuja kuwafanya watu wana chukiana kisa madaraka?
CCM mna laana toka kwa lusifaa.
 
Kusema amejenga kiwanja cha ndege kijijini kwake kwa fedha za umma ndio tusi au kusema serikali yake inaongoza kwa kuteka watu na kuwauwa nalo ni tusi.
Kwa nini sasa anauwa wananchi anaopaswa kuwaongoza.
Kwamba Magufuli amesema hatapeleka mradi wa maji Tunduma endapo hawatamchagua Silinde ni tusi; au kusema amewatishia wakurugenzi ambao watawatangaza wapinzani wameshinda uchaguzi kwa sababu yeye Magufuli ndiye anawalipa mishahara na kuwapa nyumba na magari ni tusi?
 
Uchaguzi tena! CCM haina mdogo wala mkubwa kwao yote madzi ga nyanza, hivi zile karatasi za kura zilikwisha? Nasikia bado zipo nyingi na kama kweli wazijaze tu kwenye makasha na kuwatangaza washindi wa CCM vinginevyo NEC itawatangaza CHADEMA ili wapatikane wenyeviti wa kamati.
 
Hujasikia kuuawa kwa watu 13 huko Pemba kisa uchaguzi?
Inawezekana hata yule anaitwa mazuruwi ameshafariki,wanangojea hali ipoe wamkabidhi maana hata wanasheria wameenda kumwona basi wametimuliwa na kuambiwa hawawezi kumuona yakaitwa magari kama yote ya polisi ili kujiandaa kwa tahruki kama watu wataleta fujo.ila mazrui hakuonekana na habari ndio hivyo polisi wametupiwa mpira.
 
Nendeni mkagawane na hivyo vilivyobaki ili watu wasikose maendeleo.
Ni kweli kabisa wapinzani wametucheleweshea maendeleo ,kwasasa bungeni 99.9% ni CCM hakika ndani ya miaka mitano Tanzania inakuwa kama Ulaya na Arusha inaenda kuwa California

Jimbo la kawe mafuriko ndio yashaisha tena maana kwasasa Gwajima amepewa Jimbo na mtu fulani.

Tutanunua midege mitano ,tunanunua mimeli minane ,tunaunganisha wailaya zote kwa barabara za lami yaani mpaka 2025 TZ inakuwa Ulaya, Uchaguzi wa 2025 yaani CCM hawatofanya kampeni maana maendeleo yatakuwa sio ya kitoto watapata 100%.
 
Waliopitishwa kwenye kura za maoni huko CCM, watangazwe na hii Tume ya Mkurugenzi Mahela kuwa ndio madiwani. Hakuna mjinga wa kwenda kupoteza muda wake kwenye haya maigizo.
Kweli kabisa hakuna mjinga Kama wewe wa kufanya hivyo. Punguani wa head wewe
 
Ni kweli kabisa wapinzani wametucheleweshea maendeleo ,kwasasa bungeni 99.9% ni CCM hakika ndani ya miaka mitano TANZANIA inakuwa kama "URAYA" na Arusha inaenda kuwa "KALIFONYA".

Jimbo la kawe mafuriko ndio yashaisha tena maana kwasasa GWAJIMA amepewa JIMBO na MTU FURANI.

Tutanunua midege mitano ,tunanunua mimeli minane ,tunaunganisha wailaya zote kwa barabara za lami yaani mpaka 2025 TZ inakuwa "URAYA" ,Uchaguzi wa 2025 yaani CCM hawatofanya kampeni maana maendeleo yatakuwa sio ya KITOTO watapata 100%.
Kama kuandika hujui ndio waweza kuwa na mtazamo chanya kweli?
 
Waliopitishwa kwenye kura za maoni huko CCM, watangazwe na hii Tume ya Mkurugenzi Mahela kuwa ndio madiwani. Hakuna mjinga wa kwenda kupoteza muda wake kwenye haya maigizo.
Hapana. Kwenye hizi chaguzi wapinzani mtashinda, mpende msipende.
Hauoni vitisho walivyopewa wasimamizi? Na ikitokea nafasi ya ubunge ni yenu. Na ni CDM au ACT-WAZALENDO. Hata wasipoweka mawakala.

Amnandla.....
 
OCD anaweza kutuma polisi kuhakikisha mawakala wa vyama vya upinzani wako vituoni bila kukosa na hawatoki mpaka kura zimehesabiwa.

Amandla...
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imetangaza uchuzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyika wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.

View attachment 1626034
View attachment 1626035
Tumechoka.

Wawapitishe bila kupingwa.
 
Mchakato wa kupiga kura umeharibiwa na Magufuli mwenyewe kwa kutumia vibaya vyombo vya kulinda wananchi. Hakuna mwananchi mwenye akiri timamu atakaye jitokeza kupiga kura au kusikiliza wagombea wanasema Nini, wakati tayari mshindi anajulikana
 
Back
Top Bottom