NEC yatangaza Uchaguzi mdogo kwenye Kata tatu

NEC yatangaza Uchaguzi mdogo kwenye Kata tatu

Kweli kabisa hakuna mjinga Kama wewe wa kufanya hivyo. Punguani wa head wewe

Ni hivi, ule uchaguzi wa juzi ndio rasmi umemaliza dhamira za watu kwenda kupiga kura, hata kwa wale tulioenda kupiga kura kwa shingo upande. Hakuna tena mtu anayejitambua ataenda kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi, kwa muundo huu wa tume, na matokeo kupangwa na vyombo vya dola.
 
Ni hivi, ule uchaguzi wa juzi ndio rasmi umemaliza dhamira za watu kwenda kupiga kura, hata kwa wale tulioenda kupiga kura kwa shingo upande. Hakuna tena mtu anayejitambua ataenda kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi, kwa muundo huu wa tume, na matokeo kupangwa na vyombo vya dola.
VIPI mngeshinda! ?
 
Kama kuandika hujui ndio waweza kuwa na mtazamo chanya kweli?
Nimekosea nini mkuu kwenye uandishi wangu? Nipe elimu mkuu ili nijifunze!!! 2020-2025 hakuna wapinzani hivyo maendeleo yatakuwa makubwa sana maana wapinzani walitucheleweshea sana maendeleo.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyike wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.

View attachment 1626034
View attachment 1626035
Hii NEKI watakuwa ni wachawi tu, nani apoteze muda, damu mliyokwisha kuinywa haitoshi? kwa nni msitangaze ccm wajaze hizo nafasi?
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyike wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.

View attachment 1626034
View attachment 1626035
Haya matumizi mabovu ya fedha za umma nani anayaratibu? Si watangaze tu kwamba CCM wamepita vila kupingwa ili kusiwe na gharama za kuchaposha makaratasi pamoja na gharama za wasimamizi?
 
Back
Top Bottom