Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameua mwananchi gani?
Kweli kabisa hakuna mjinga Kama wewe wa kufanya hivyo. Punguani wa head wewe
VIPI mngeshinda! ?Ni hivi, ule uchaguzi wa juzi ndio rasmi umemaliza dhamira za watu kwenda kupiga kura, hata kwa wale tulioenda kupiga kura kwa shingo upande. Hakuna tena mtu anayejitambua ataenda kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi, kwa muundo huu wa tume, na matokeo kupangwa na vyombo vya dola.
VIPI mngeshinda! ?
Nimekosea nini mkuu kwenye uandishi wangu? Nipe elimu mkuu ili nijifunze!!! 2020-2025 hakuna wapinzani hivyo maendeleo yatakuwa makubwa sana maana wapinzani walitucheleweshea sana maendeleo.Kama kuandika hujui ndio waweza kuwa na mtazamo chanya kweli?
Chukueni tu vyote kama haki ya mtu yalika fakamieni tu!Ni jambo jema!
Huko waachiwe CHADEMA nao waambulie kidogo!
Hii NEKI watakuwa ni wachawi tu, nani apoteze muda, damu mliyokwisha kuinywa haitoshi? kwa nni msitangaze ccm wajaze hizo nafasi?Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyike wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.
View attachment 1626034
View attachment 1626035
Chezea majizi na majambazi yaliokubuhu wewe!Tunajua hamtashiriki lakini formalities lazima zifuatwe ili mkose pa kukimbilia. Chezea CCM wewe!
Haya matumizi mabovu ya fedha za umma nani anayaratibu? Si watangaze tu kwamba CCM wamepita vila kupingwa ili kusiwe na gharama za kuchaposha makaratasi pamoja na gharama za wasimamizi?Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyike wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.
View attachment 1626034
View attachment 1626035