Kuna kiongozi wao 2015 alisema upinzani hasa chadema isipochukua nchi anaacha siasa,leo bado yupo hai huko anakokona kusaka ubunge ili apate KUB. Hawa wapinzani wetu ni wa kuwadharau tu.Kauli Kama hii ndiyo huwa inawanyima kura ...kuwadharau watu baadala ya kuwanyenyekea wapiga kura ..
Never Seen Before 😂😁😀😄😄😄😄Tunamtakia Magufuli afya njema. Tumshinde akiwa timamu
Sio kweli, ataenda pwani, tanga, kilimanjaro, arusha, manyara na kumalizia dodomaHaendi Kaskazini mkuu. Taarifa zinasema kuwa anafuata ripoti ya watu wa kipenyo na haendi Kaskazini yote kasoro Tanga wala haendi kusini yote.
Yani akitoka Tanga anaingia Dodoma ndani ndani huko hadi kwenye kufunga kampeni
He! Hii kali. Ni kweli huko watu wote ni waoga kiasi kwamba wanatishwa na sauti na sura ya mtu kama watoto wadogo?Akae hukohuko anatukera tuleteeni Lissu huyo Msukuma asikanyage huku anatisha raia hatumtaki hana mvuto wowote, sura mbaya, kauli mbaya, lughà mbaya na mtu mbaya sidhani hata Mungu anampenda kama anavyodai mwenyewe maana ni mwongo wa kupindukia.
Ni kweli tarehe 19/10/2020 atakuwa Pwani Bagamoyo akiwa njiani kuelekea Korogwe Tanga then Same na kuendelea Moshi, Hai, KIA User River, Arusha na kuendelea Karatu, Babati, Kondoa, Dodoma. Sisi wenye chama dume tunakueleza.Wewe usitudanganye. Tarehe 19 Magufuli atakuwa Pwani na tarehe 22 atakuwa Tanga. Huko Kilimanjaro hiyo tarehe umeitoa wapi?
Haws watu ni wajinga waliopitiliza, ratiba yake ipo hivi: pwani, tanga, kilimanjaro, arusha, manyara na dodomaKasikazini magufuli hakanyagi?
Mechi ni mechi, filimbi ya mwisho ndio anatoa matokeo.Tutakimbiana Kwa mikakati gani mliyonayo?? Hii yakuchezeshwa nusu uwanja??
Nyie watu ni wajinga mliopitiliza, ratiba ipo hivi; pwani, tanga, kilimanjaro, arusha, manyara(babati) na dodomaWewe usitudanganye. Tarehe 19 Magufuli atakuwa Pwani na tarehe 22 atakuwa Tanga. Huko Kilimanjaro hiyo tarehe umeitoa wapi?
Magufuli ashaenda singida na lissu ashaenda geita hivyo hakuna jipya.Wamekosea magufuli anatakiwa ufungie singida alafa lissu geita tuone nabii ambavyo akubaliki kwao
Yupo hadi magufuli afyrumushwe toka ikulu akajifiche kwenye mitarAna ticket tayari, uchaguzi ukiisha hatasubiri matokeo, atakimbia labda wamzuie wamkamate maana wadhamini walishajitoa.
Mwenye saccos Yake hawezi kuomba Mungu ambariki maana Ana mke na kimada Mungu hapendi wazinzi. Hawezi ibariki chadema maana kiongozi wake siyo mwadilifu.Mungu ibariki Chadema
Field ccm ni sawa na shobo ukiona magufuli chato hawamtaki ujuwe amekwishaWewe unasemea mitandaoni sisis tupo field. Kazi kwako MAGUFULI MITANO TENA. Tafuta sumu kabisa uje kunywa.
Tarehe 28 siyo mbali mkuu!Tutakimbiana Kwa mikakati gani mliyonayo?? Hii yakuchezeshwa nusu uwanja??
Ccm chama cha magufuli bashiru na polepoleMwenye saccos Yake hawezi kuomba Mungu ambariki maana Ana mke na kimada Mungu hapendi wazinzi. Hawezi ibariki chadema maana kiongozi wake siyo mwadilifu.