Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Tarehe 28 siyo mbali mkuu!

Kama unafikir Lisu ana kura za kumshinda Magu, subiri ujionee
Magufuli ni nuksi kea taifa na hana kura hata akiwapa watoto. Vipalata anaowa Somba kwenye kampeni hawsmpti
 
Field ccm ni sawa na shobo ukiona magufuli chato hawamtaki ujuwe amekwisha
Hata Membe alikuwa anafikiri yuko juu sana! Alipifika field kakuta kina kirefu, kaamua kama ni aibu basi!
 
Magufuli ni nuksi kea taifa na hana kura hata akiwapa watoto. Vipalata anaowa Somba kwenye kampeni hawsmpti
Basi anza kusheherekea kabisa ushindi wa Lisu kuwa rais wa Amsterdam.

Rais wa tz ni Magufuli. Hutaki kufa!

Kumbuka bado siku 11 tuwang'oe hizi ngebe zenu.
 
Basi anza kusheherekea kabisa ushindi wa Lisu kuwa rais wa Amsterdam.

Rais wa tz ni Magufuli. Hutaki kufa!

Kumbuka bado siku 11 tuwang'oe hizi ngebe zenu.
Ni raisi wa Tanzania Magufuli hana lake kwisheney
 
Uzuri ni kwamba Magufuli anakuwa live kwenye TV zote kwaiyo watu wa Kilimanjaro, Mtwara, Kundi, Manyara na Ruvuma nadhani, waingie YouTube kumsikiliza huko.
Yeye anakuwa live kwenye tv mwenzake anakuwa live field na wapigakura.
 
Nawaonea huruma sana CDM sijui baada ya uchaguzi maisha yatakuwaje maana kipigo wanachokwenda kupokea siyo cha kawaida.
 
Kabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.

Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Vilaza Kazini Hahahaa
 
Wakati serikali ina hamasisha watu wajitokeze kwenda kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu, CHADEMA walikua wakihamasisha watu wa Susie kujiandikisha mbaka ipatikane katiba mpya, chakushangaza baada ya uchaguzi CHADEMA wata lalamika wameibiwa kura.
Hapo kwa bangi zao watakuja kukwambia eti LISU atapigiwa kura na wana CCM wanaomchukia JPM
 
Kuanzia tarehe 20 atakuwa Mkoa wa Kilimanjaro baadae Arusha, Manyara na tarehe 26/10/2020 atakuwa Dodoma tayari kwa kupiga kura tarehe 28/10/2020.
Wachagga watampopoa mawe. Hivi anaenda kuwambia nn? Au anaenda kusema Nileteeeeeni Kimeiiiiiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
 
Kaigwaya KASKAZINI ...huku Mwamba LEMA ana malizia malizia kusafisha mabaki ya visisiemu
 
CHADEMA wameisha idhoofisha CCM tayari, unakimbia jiji ambalo linahadhi 80% ya uchumi wa nchi
Waliopanga ratiba ya Lissu kumalizia Dar ni Wenzetu hao ndivyo maombi yetu yalivyokuwa Dar itarindima
 
Kabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.

Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Nileteeni Gwajmaaaaaaaa!
 
Back
Top Bottom