moto wa kifuu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 390
- 60
Ohoo, hiyo ni hatari sana. Mkemee shetani.Lissu akishinda hata kwa asilimia 20 mimi wakusini nikatwe kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoo, hiyo ni hatari sana. Mkemee shetani.Lissu akishinda hata kwa asilimia 20 mimi wakusini nikatwe kichwa
Kama gharama ya kubwabwaja miaka kibao na kutoka kapa ....tukutane tarehe 28Alikua pale Tanganyika Parkers watu wanaendelea na shughuli zao. Wale walioletwa na vi coaster ndiyo waliambiwa nileteeni Gwajima.
Kulazimisha kupendwa na asiye kupenda ni gharama sana.
Haha mkuu kwa sisi wazoefu humu huwa jamaa hawaonekani kwa karibia mwezi hivi na wengine hubadili ID tarajia hayo mawili.Kwakua sikuwa Jf wakati wa uchaguzi wa 2015, nasubiri kwa hamu nyuzi zitakazo anzishwa humu Mara baada ya uchaguzi kupita😃.
Huyo anayehamasisha hizo fujo anafahamika na vijana wake anawalipa sh 10,000 kufanikisha fujo hizoUnasema kweli!!?
Sasa shida iko wapi hapo ulitaka aseme aletewe mdee?Nireteeeeeeeeeeeniiiiiiiiiiiiiiiiii Gwaaaaaaaaaa......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Ombea adui yako maisha marefu ili ajionee kwa macho maendeleo yakoAfie mbali huko daraja la Wami
Dua la kuku halimpati mwewe.Afie mbali huko daraja la Wami
Kumbe Kimara na Mbezi ni watu wa KilimanjaroHawezi kwenda kilimanjaro maana bado wanamdai fidia ya bomoabomoa ya kimara mbezi
Ngoja nisubirie.Hao huwa hawatupi presha kabisa,
Wanapiga kelelee ,
Siku ya siku wanapokea kipigo halafu wanapoteana kwa muda, maisha yanaendelea.
Hamna shida bwashee!🤭Sasa shida iko wapi hapo ulitaka aseme aletewe mdee?
Mkuu hizi ID zote unazoziona sasa hivi zimeanza baada ya Lisu kutoka Ubelgiji na baada ya hapo atapotea nazoKwakua sikuwa Jf wakati wa uchaguzi wa 2015, nasubiri kwa hamu nyuzi zitakazo anzishwa humu Mara baada ya uchaguzi kupita[emoji2].
Anakula flyover?Huyu hajitambui. Hata sadaka kanisani kwake imepungua kwa ajili ya vyuma kukaza,labda mwenzetu analipwa na system anayoipigia debeBAVICHA ebuu Msikilizeni Huyu MTU Wa mungu mnaweza Jifunza Neno Nayambafu
Mnajiaminisha kwa rigged electionBasi anza kusheherekea kabisa ushindi wa Lisu kuwa rais wa Amsterdam.
Rais wa tz ni Magufuli. Hutaki kufa!
Kumbuka bado siku 11 tuwang'oe hizi ngebe zenu.
😳😳 Upinzani wa bongo ni maigizo mtupu.😂Mkuu hizi ID zote unazoziona sasa hivi zimeanza baada ya Lisu kutoka Ubelgiji na baada ya hapo atapotea nazo
Hayupo wakufanya ujinga huo labda kama wewe umepanga kufanya hivyo! Angalia lakini usije ukafanywa mbaya kabla hujarusha hayo mawe yako!Wachagga watampopoa mawe. Hivi anaenda kuwambia nn? Au anaenda kusema Nileteeeeeni Kimeiiiiiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
CHADEMA msijifariji sana,CHADEMA wameisha idhoofisha CCM tayari, unakimbia jiji ambalo linahadhi 80% ya uchumi wa nchi
2015 kura zake huko hazikutosha. Na mwaka huu hazitatoshaHayupo wakufanya ujinga huo labda kama wewe umepanga kufanya hivyo! Angalia lakini usije ukafanywa mbaya kabla hujarusha hayo mawe yako!