Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Kwakua sikuwa Jf wakati wa uchaguzi wa 2015, nasubiri kwa hamu nyuzi zitakazo anzishwa humu Mara baada ya uchaguzi kupita😃.
 
Alikua pale Tanganyika Parkers watu wanaendelea na shughuli zao. Wale walioletwa na vi coaster ndiyo waliambiwa nileteeni Gwajima.

Kulazimisha kupendwa na asiye kupenda ni gharama sana.
Kama gharama ya kubwabwaja miaka kibao na kutoka kapa ....tukutane tarehe 28
 
Kwakua sikuwa Jf wakati wa uchaguzi wa 2015, nasubiri kwa hamu nyuzi zitakazo anzishwa humu Mara baada ya uchaguzi kupita😃.
Haha mkuu kwa sisi wazoefu humu huwa jamaa hawaonekani kwa karibia mwezi hivi na wengine hubadili ID tarajia hayo mawili.
 
Nireteeeeeeeeeeeniiiiiiiiiiiiiiiiii Gwaaaaaaaaaa......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Sasa shida iko wapi hapo ulitaka aseme aletewe mdee?
 
Kwakua sikuwa Jf wakati wa uchaguzi wa 2015, nasubiri kwa hamu nyuzi zitakazo anzishwa humu Mara baada ya uchaguzi kupita[emoji2].
Mkuu hizi ID zote unazoziona sasa hivi zimeanza baada ya Lisu kutoka Ubelgiji na baada ya hapo atapotea nazo
 
BAVICHA ebuu Msikilizeni Huyu MTU Wa mungu mnaweza Jifunza Neno Nayambafu
Anakula flyover?Huyu hajitambui. Hata sadaka kanisani kwake imepungua kwa ajili ya vyuma kukaza,labda mwenzetu analipwa na system anayoipigia debe
 
Haaaa haaa just haaa haaa..!

LORI la MKAA linarudi tena Barbarani. TRIPU SHAMBA TRIPU Gereji.

#NIYEYE Rais ni Lissu awamu ya6. ✌🏽
 
Wachagga watampopoa mawe. Hivi anaenda kuwambia nn? Au anaenda kusema Nileteeeeeni Kimeiiiiiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
Hayupo wakufanya ujinga huo labda kama wewe umepanga kufanya hivyo! Angalia lakini usije ukafanywa mbaya kabla hujarusha hayo mawe yako!
 
CHADEMA wameisha idhoofisha CCM tayari, unakimbia jiji ambalo linahadhi 80% ya uchumi wa nchi
CHADEMA msijifariji sana,

Makao makuu ya TUME YA UCHAGUZI yako DODOMA,

TUME YA UCHAGUZI UTAFANYA MAMBO YOTE KUTOKA DODOMA,

MAGUFULI AKIWA DODOMA NI RAHISI KUWASILIANA NA WATUMISHI WA TUME YA UCHAGUZI AMBAO NI WATEULE WAKE.

KAMA VIPI, MAGUFULI AKAFUNGIE KAMPENI CHATO.

AU WOTE (LISU NA MAGUFULI) WAWE MJI MMOJA.

KAMA NI DODOMA AU DAR ES SALAAM WOTE HAPO HAPO.
 
Hayupo wakufanya ujinga huo labda kama wewe umepanga kufanya hivyo! Angalia lakini usije ukafanywa mbaya kabla hujarusha hayo mawe yako!
2015 kura zake huko hazikutosha. Na mwaka huu hazitatosha
 
Back
Top Bottom