Waongeze bidii ili,wapenda haki wahamasike zaidi kufanya uamuzi wenye manufaa kwa taifa letu.Naanza kuamini kuwa sasa CCM imechokwa na vyombo vya dola na wanafanya makusudi kumfanyia fujo Lissu ili kuionyesha dunia kuwa CCM imeshashindwa hivyo inatumia vyombo vya dola kama NEC na Polisi kulazimisha ushindi. Huu ni mpango mahsusi wa kuiondoa CCM madarakani. Asanteni Polisi na NEC kuwa upande wa wananchi.
Kwa wenye UFINYU wa akili.
CCM - Lowasa huwezi gombea urais, mwache Jakaya apeperushe bendera ya chama chetu. Lowasa atakua waziri mkuuπ
CHADEMA - Jakaya dhaifu, tunataka rais mwenye maamuzi magumuπ
- Lowasa fisadi tena fisadi papa. Ajiuzuluuuuu aondokeeee hatufaiiiii anauza nchiiiiππ
CCM - Jakaya anamaliza muda wake, Lowasa anataka kupeperusha bendera lakini hatufai... hata kama wajumbe wamempitisha kwa maslahi mapana ya taifa na kwa vizazi vijavyo tumkate Lowasa tumpe John Pombe Magufuliππ
CHADEMA - Lowasa ni kiongozi shupavu sana. Inabidi tumwombe ahamie kwetu, tumpe nafasi agombee urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Tena atakuja na mtaji wa watu na pesa. Tutashindaπ€π
CCM - John Pombe Magufuli ameshinda na ndie rais wa jamhuri ya muungano wa TanzaniaππΉπΈππ
CHADEMA - John Pombe Magufuli hafai, hashauriki, ana maamuzi magumu sanaaaaππ
CCM - Tanzania ni tajiri sana,wananchi tuchape kazi.Tujenge mashule, mahospitali, barabara,viwandaπ
CHADEMA - Serikali haijali wananchi. Serikali inajali maendeleo ya vitu na sio watuπ
CCM - Bila kuijenga madarasa watoto wetu watasoma wapi, bila hospitali mtatibiwa na bila bararabara mtapita wapi. Hakuna maendeleo ya vitu bila watuπ
CHADEMA - Tutawasemea kwa Amstadam mnatuonea, tutamwambia hatutaki barabara, wala mahospitali, wala mashule wala viwanda. Sisi tunataka maendeleo ya watuπ€£ππ
WATANZANIA - Nyie CHADEMA msituchezee, mmetuona watoto wadogoooo. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli tarehe 28.10.2020. Hakuna wa kumshinda MagufuliππΉπΏπππππ
Heri kujiunga DECI kuliko kujiunga chadema BAK
Kwanini asingesubiria ajibiwe? hilo ndio swali langu
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Ndio maana CCM wakamkata akaja kuwanunua CHADEMA ππππUPUUZI MTUPU! aliyesema ccm kuna mafisi ni nani? Aliyesema ccm si mama yangu ni nani?acha kuonyesha UJUHA wako hadharani.
Nalima bustani masaa 6 napumzika masaa 3 namwagilia.hivi unafanya kazi saa ngapi ya kujipatia kipato?
Baba yenu alipo sema hakumfukuza Gambo wakati aliongea hadharani yeye ndoe mkweli.Chadema ni watu wa vurugu na uongo.
Ndio maana CCM wakamkata akaja kuwanunua CHADEMA ππππ
Kwa CCM Lowasa hajawahi kuwa msafi ila CHADEMA mlifata pesa na ndio mkashindwaaaaa
Baba yenu alipo sema hakumfukuza Gambo wakati aliongea hadharani yeye ndoe mkweli.
Huyo anayejiita MWENDAWAZIMU ana usafi gani? Mbona yeye ni zaidi ya lowassa kwa ufisadi, ufujaji na wizi wa pesa za walipa kodi?
Ndicho mlicho baki nachoHuo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Ndicho mlicho baki nachoView attachment 1610756
Ndio maana CCM wakamkata akaja kuwanunua CHADEMA ππππ
Kwa CCM Lowasa hajawahi kuwa msafi ila CHADEMA mlifata pesa na ndio mkashindwaaaaa
Vita kati ya nani na nani?Huu uchaguzi umejaa ushari wa vita vita
Ametubu na kurudisha alvyoiba. John Pombe Magufuli si wa mchezomchezo atiπ..na sasa anasema amerudi "nyumbani" kwa mafisadi wenzake.
Sheria haipingwi. Mwambieni Lissu.Mamlaka zote zimekaa kuhujumu Lissu
NEC imelaanika Kwa matendo yenu maovu
..na sasa anasema amerudi "nyumbani" kwa mafisadi wenzake.
Imelaanika ila kwa akili zako za kinyumbu unasubiri baada ya uchaguzi wa Oktoba 28 imtangaze mgombea wako kuwa mshindi ETI!!!???NEC imelaanika Kwa matendo yenu maovu