NECTA yaacha Utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi bora na Shule bora kwa Kidato cha 4

Tutarajie shule za serikali hasa zile zinazofanya vizuri kama mzumbe,ilboru,tabora,kibaha kushuka sana kiwango cha ufaulu mana wanafunzi wa shule hizo husoma kwa bidii na morale ya kuwa TO sasa kama hiyo motive haipo tena,vijana hawatasoma kwa msukumo huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…