Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 551
- 895
wabongo watu wabishi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu haitakiwi iwe hivyo Sasa ya kutafta u ToDah. Wengine tuliutafuta uTO kwa udi na uvumba tukachemka.
Darasa letu la form six PCB liligeuka bweni. Watu walihamishia hadi mabegi darasani. Sahani, pasi, ndoo za kuogea zote zilihamia darasani. Hadi mashuka tulikuwa tunafua na kuanikia darasani.
Kuna siku hadi mwalimu alikataa kufundisha maana darasa halikuwa na muonekano wa darasa.
Hapana,mi siyo wa Kibaha ni WA Kanda maalumu Tarime 💪na wew mwanakibaha man
Acha kupotosha ,embu cheki shule zifuatazo ufannishe na huo utopolo wako;St Mary Eugenie,St monica moshono ,Anwarite Girls na Tengeru Boyswabongo watu wabishi sanaView attachment 2499218
Serikali haiji kuboresha mazingira ya shule zetu za kata kamwe maana hakuna ushindaniutaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora ulianzishwa na viongozi wale ambao wanamiliki shule. Dhumuni ilikuwa ni kutangaza biashara ya shule zao.
Ukimfananisha samaki na simba kwa uwezo wa kukata mbuga nchi kavu, utakua umekosea sana maana mazingira ya samaki na maisha yake yote ni kwenye maji.
Vivyo hivyo ukilinganisha ufaulu wa wanafunzi ambao wanasoma mazingira tofauti kabisa na wanatoka katika familia tofauti kimazingira na kiuchumi sio sawa.
Katika hili, wamekua wakikosea tokea mwanzo, namshukuru Mungu kuwa sasaivi wamejitambua na kuacha huu ujinga.
Kazi iendelee.
Inaotosha kuna shule kibao zina GPA 1.3 na 1.4 hazipo kwenye list
Kwanini serikali isimboreshee huyu wa masanza? Si tunalipa kodi bwanaaAfadhali nimefurahi sana mtot wa feza unamrank vipi na WA masanza Kona hukooooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shule gani?Dah. Wengine tuliutafuta uTO kwa udi na uvumba tukachemka.
Darasa letu la form six PCB liligeuka bweni. Watu walihamishia hadi mabegi darasani. Sahani, pasi, ndoo za kuogea zote zilihamia darasani. Hadi mashuka tulikuwa tunafua na kuanikia darasani.
Kuna siku hadi mwalimu alikataa kufundisha maana darasa halikuwa na muonekano wa darasa.
Ndo shida ilipo hapo hatuna viongozi wenye kujitoa Kwa wananchi Kwa dhatiKwanini serikali isimboreshee huyu wa masanza? Si tunalipa kodi bwanaa
Kwa kwl mm mtu acpopita advance cjui namwonaje tuWachache sana wanatambua hilo.
Kuna wazazi wasipopeleka mtoto Advance anaona kama hajasoma vile
As long as sio official, hakuna anayeweza zitumia popote kufanya lolotewabongo watu wabishi sanaView attachment 2499218
Walimu wanatumia visimbuzi vyao
Wanaokosoa huu uamuzi wa NECTA hawana hoja za msingi, ni malofa.
Sio official
shule za secret-harsh zimefeli hawataki kusemaBaraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne
Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule
"Unamtaja mtu kwamba ameongoza katika kundi ambalo pamoja na kwamba wamefanya mtihani huo huo lakini hawakusoma katika mazingira yanayofanana, alafu sasa unampa sifa mtu mmoja"
Kuhusu kumtangaza mwanafunzi bora wa mtihani huo amesema hakuna tija katika hilo kwani hauwezi kumtangaza mwanafunzi mmoja katika ya wanafunzi wote Tanzania ambao huenda pia mazingira yao ya kusoma yalikuwa tofauti
Chanzo: EA Radio
Sasa mlitaka yule Mvaa Kobaz akae kusoma St. dash dash kwamba ndizo kinara??? thubutuuuuuuu. Ustaz kabadili gia angani hataki upuuuzi. maaaaamaewabongo watu wabishi sanaView attachment 2499218