Umeongea pumbaNilichogundua humu wanaofurahia huo uamuzi ni wavaakobazi ambao shule zao huwa zinashika mkia miaka yote tangu nchi ipate uhuru,pia wanaona wivu na chuki wakiona zile za mtakatifu fulani zimeongoza.kwa kifupi wavaakobazi wamefichiwa aibu.
Katika mashindano yote lazima ajulikane mshindi na aliyepoteza ili mshindi apongezwe aliyepoteza atiwe moyo apambane zaidi.