Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Wengi tu. Leo Illboru ina division One 100 na Two moja. Hawana 3,4 na Zero. Unaenda kumlinganisha na shule ya kata Chinyika iliyopo Mpwapwa vijijini na unampa zawadi Mkuu wa shule na mwanafunzi aliyefanya vizuri obvious ni yule wa Ilboru. Unategemea mpaka Masiah arudi zawadi au sifa za kutangazwa kwamba shule x na mwanafunzi y wametoka Chinyika itakuja kutokea?Kumbe wengi tuu walikuwa hawaipendi hii kitu.