Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa kule visiwani[emoji4]Hapo wanapanga matokeo na kuepusha aibu sehem fulani fulani
Iliboru siyo ya mchezo kabisa. Yaani division 1 zipo 100 na division 2 ipo Moja . Hiyo ni shule hasaWengi tu. Leo Illboru ina division One 100 na Two moja. Hawana 3,4 na Zero. Unaenda kumlinganisha na shule ya kata Chinyika iliyopo Mpwapwa vijijini na unampa zawadi Mkuu wa shule na mwanafunzi aliyefanya vizuri obvious ni yule wa Ilboru. Unategemea mpaka Masiah arudi zawadi au sifa za kutangazwa kwamba shule x na mwanafunzi y wametoka Chinyika itakuja kutokea?
Nchi yangu oooohTanzania ehhh
Ndo wamegundua sasahivi. . Ni jambo zuriBaraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne
Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule
"Unamtaja mtu kwamba ameongoza katika kundi ambalo pamoja na kwamba wamefanya mtihani huo huo lakini hawakusoma katika mazingira yanayofanana, alafu sasa unampa sifa mtu mmoja"
Kuhusu kumtangaza mwanafunzi bora wa mtihani huo amesema hakuna tija katika hilo kwani hauwezi kumtangaza mwanafunzi mmoja katika ya wanafunzi wote Tanzania ambao huenda pia mazingira yao ya kusoma yalikuwa tofauti
Chanzo: EA Radio
Warudishe tuu,
Sioni mantiki ya kuondoa huo utaratibu.
Wapo Watu tuliosoma shule za kata lakini Tulikuwa na ndoto za kuwa TO, hiyo ilikuwa kama motivation kwetu.
Wizara ya elimu iamue shule zitumie lugha moja ya kufundishia kuanzia elimu ya msingi mpaka chuo kikuu. Hii ya kubadili gear angani ndio chanzo cha ubovu wa elimu yetu.
Itapunguza moraleAkili zimewarudi. Binafsi nilikuwa naona ushamba kutangaza mwanafunzi mmoja bora Tz yote. Haiwezekani
Kama ni hivyo basi ni bora utangaze wanafunzi 50 bora. lakini sio 1 kwa wanafunzi wote tz.Itapunguza morale
[emoji3][emoji119][emoji119][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]saafi sana watajua HawajuiMatangazo yalivyokua
"Shule imekua ya 65 kitaifa, mlete mwanao kwenye ufaulu bora"
Matangazo ya shule za private yatakua kama ifuatavyo
"Shule ina bembea za kisasa walimu warembo, uwanja mkubwa wa mpira, ewe mzazi unangoja nini kumleta mwanao sasa acheze mpaka asaze" [emoji23]
Wengi htukua tunapenda Kwa kweliKumbe wengi tuu walikuwa hawaipendi hii kitu.
Mbona imeanza mwaka huu kuanzia primary,Ndo imekuja hukuSafi sana.. shule za msingi napo walete hii
Mipango yangu ilienda kama nilivyopanga, First selection ya chuo niliweka DIT na nilichaguliwa DIT course yangu niliyokua naitaka na ndio inaniweka mjini kwa sasaHujamaliza story..ikawaje sasa?
Sio kweli... kwanz hyo kitu ilkua inapelekea vitendo vingi vya udanganyifu na wizi wa mitihanINAFICHWA AIBU YA SKULI ZETU zileee