Hakuna mwaka wamewahi kuwa tofauti
Alikidanganya nani kwamba Ajira hakuna?Ajira Hakuna; huwa nikiwaona vijana wanavyohangaika na CV zao na first class, na kosa gari hati ya kufurahia na kushabikia Elimu ya Tanzania
Miaka mingi ya nyuma hawakuwa wakipata darasa zima 1-7 na huu ni mfano tu kumekuwa na rundo la 1-7 yamenishitua matokeo ya karibuni ya II,IV na VI[ napo 1-3 imekuwa kawaida hivi karibuni ]Hakuna mwaka wamewahi kuwa tofauti
Alikidanganya nani kwamba Ajira hakuna?
Ajira zipo za kutosha ila zile mnazotaka nyie punguani hazitoshiZipo sana ajira kwa mtazamo wako wa kipumbavu, sisi tunaangalia ajira based on:
1. Output vyuoni.
2. Output secondary schools
3. Statistics za ajira kwa mwaka.
Sasa kama wewe unaangalia ajira based on other facts then kwa scale yako ya kipumbavu huwezi nielewa!
USA wenyewe wanalalamika un employment
Kila sehemu zimejaaKipindi cha nyuma mtoto alikuwa akipata 1 ya 15 ni sherehe saivi anaonekana wa kawaida sana
Walimu walikuwa wachache na mazingira ya kujifunzia ni magumuMiaka mingi ya nyuma hawakuwa wakipata darasa zima 1-7 na huu ni mfano tu kumekuwa na rundo la 1-7 yamenishitua matokeo ya karibuni ya II,IV na VI[ napo 1-3 imekuwa kawaida hivi karibuni ]
Mno yaani sahivi unaonekana wakawaida ,ila Maisha ndio yanayokutambulishaKipindi cha nyuma mtoto alikuwa akipata 1 ya 15 ni sherehe saivi anaonekana wa kawaida sana
Mwanangu uzi umekufurahisha, jamaa kaufuta unamchongea kwa mods 😂😂
wanaeleweka hao sasa! kila kiongozi akija anapuyanga na lake tuHizi takwimu zi walishafuta huu utaratibu wa kutaja shule ya kwanza sijui mkoa wa kwanza kwamba zitabaki kama taarifa za ndani ama wamebadilika tena?
Na St. Francis ilikuwa na waalimu wachache na mazingira ya kujifunzia magumu ?Walimu walikuwa wachache na mazingira ya kujifunzia ni magumu