0717557514
Member
- Aug 26, 2016
- 10
- 3
jamn nyie mnaangaliaje???mana sie yakataa70% ya wanafunzi wamefeli, ni 30% tu Ndio wamepata daraja la 1-3
Hii inatuma msg gani kwa serikali chini ya mpango wa elimu Bure?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamn nyie mnaangaliaje???mana sie yakataa70% ya wanafunzi wamefeli, ni 30% tu Ndio wamepata daraja la 1-3
Hii inatuma msg gani kwa serikali chini ya mpango wa elimu Bure?
Mambo yanaenda mwendo wa kipolitiki mkuu, hiyo ilikoma baada ya binti wa mkulu wa enzi hizo kulamba zero!Wangeweka mfumo wa majina hii ya kuweka namba kwenye matokeo siipendi
Wewe acha tu nikiwaangalia madogo hapa nakumbuka kipindi nilivyokuwa mimi dah ilikuwa kimuhe muheHii pressure hii sitaki kukumbuka
Kama kawaida shule za Kanisa Katoliki zatamba
Naombeni msaada mniangalizie ya kwangu namba S.0216/0028 nimebanwa choo siwezi hata kuangalia. Msaada please
Yuko vizuri aiseebinti upo kidato cha 4 wakati vitu vyako vya humu si vya kitoto
S0216/0028
F
17
I
CIV - 'C' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'A' BIO - 'B' B/MATH - 'C' COMM - 'C' B/KEEPING - 'C'
Zote kutoka kanda ya pwani na zote za serikali!!Shule Kumi (10) Za Mwisho Kitaifa
1. Kusini – Kusini Unguja
2. Pwani Mchangani – Kaskazini Unguja
3. Mwenge SMZ – Mjini Magharibi
4. Langoni – Mjini Magharibi
5. Furaha – Dar
6. Mbesa – Ruvuma
7. Kabugaro – Geita
8. Chokocho- Kusini Pemba
9. Nyeburu – Dar
10. Mtule – Kusini Unguja
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Shule Kumi (10) Za Mwisho Kitaifa
1. Kusini – Kusini Unguja
2. Pwani Mchangani – Kaskazini Unguja
3. Mwenge SMZ – Mjini Magharibi
4. Langoni – Mjini Magharibi
5. Furaha – Dar
6. Mbesa – Ruvuma
7. Kabugaro – Geita
8. Chokocho- Kusini Pemba
9. Nyeburu – Dar
10. Mtule – Kusini Unguja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] SUA washenzi sana washawahi nifedhehesha pale na probation yangu yani darasa zima wakatung'ang'ania watu 5 tu na kutubandika notice boardSUA na DUCE
S4722.0021 msaada pleasee
Dogo una zeroNaombeni msaada mniangalizie ya kwangu namba S.0216/0028 nimebanwa choo siwezi hata kuangalia. Msaada please
Taja nambaJamani kwangu hayafunguki...
Dogo una zero