NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

kurudia private nayo imezuiliwa? Sidhani kama ni kweli, hebu tafuta taarifa za kutosha mkuu

Lini iliruhusiwa mtu aki-fail aende private akatudie?

Kisheria ni kosa toka kitambo ndio maana kuna ku-reseat.
 
Jamani shule zetu za kata matokeo yao vipi,wameongoza nao ama
 
privacy ya mtu ni muhimu,pili majina yana mfanano mkubwa unawezan kuta jina moja wanalo watu zaidi ya wawili,so ni vyema kutumia namba.....tatu kuzuia wambea wambea wanaopenda kufuatilia mambo yasiowahusu,unataka kuona mtoto wa mwenzio kapata nini ili umcheke..
Sijaona points hata moja hapo mkuu. Nyie mnaokula ziro ndo mnaoebdekeza usiri eti 'privacy' kwani mtihani ni jambo la siri?? Huu nfo mwanzo wa kuwa na viongozi na watendaji wabovu waliokula ziro na mkashindwa kupata reference.

Pili suala la majina kufanana halina mashiko maana majina yanapangwa kwa shule. N vigumu katika ukurasa wa matokeo ya shule moja kukawa na majina yaliyofanana na ya shule nyingine. Na kama ni kufanana kwa majina katika shule husika kunakuwa na jina la 3 ambalo hutofautisha wahusika.

Juu ya yote unagundua kwamba ni mwanzo wa serikali kuficha upupu wa wale wanaowatengeza kuingia kwenye system baadae wasijulikane ufahulu wao ulivyokuwa wa hovyo kama watafeli kidato cha nne.

Maswali ya kujiuliza:
1. Mbona miaka ya nyuma walitumia majina na hakikuharibika chochote?
2. Mbona kwa shule za msingi na kidato cha pili wanatumia majina halisi? Hawa hawana haki ya privacy? Au hawafanani majina? Wakati hawa hawa ndio baadae wanakuja kufanya mtihani huo wa form IV?

Mwanaoa akikwambia nimesahau namba ya mtihani ufunge safari mkoa hafi mkoa kwenda shuleni kwao kutafuta namba ya mtiani?? Haki yangu kama mzazi ninayemuhudumia huyu mtoto kufika mbali iko wapi? Yaani ubanificha jina la mwanangu eti kisa unalinda nisijue matokeo ya mtoto wa jirani?? Kwa nini afeli??
 
Najuta kwa nini niliwaambia madogo zangu hii habari maana imekuwa kero
 
Matokeo ya qt ni tofauti? Nimeangalia kituo cha makongo sijaweza kuona mwenye uelewe naomba msaada wakuu!
 
Back
Top Bottom