NECTA yathibitisha tuhuma alizotoa mwanafunzi wa Chalinze Modern Islamic ni za kweli, Yaifungia shule

NECTA yathibitisha tuhuma alizotoa mwanafunzi wa Chalinze Modern Islamic ni za kweli, Yaifungia shule

Amina68

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
298
Reaction score
547
Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), limethibitisha kuwa mwanafunzi wa darasa la 7 Iptisum Suleman Slim, alibadilishiwa namba ya mtihani na uchunguzi umepelekea kugundulika kwa wanafunzi wengine 7 kubadilishiwa namba zao za mitihani, na kuchukua hatua ya kuifungia shule ya Chalize Modern kuwa kituo cha mitihani ya baraza hilo.

Waziri wa Elimu na Sayansi na Teknolojia, Mhe.Prof.Adolf Mkenda, amesema uchunguzi umebaini taarifa zilizotolewa na mwanafunzi huyo ni kweli.

1666692440585.png
ITV

=========

Uchunguzi uliofanywa na Baraza la Taifa la Mitihani, umebaini kuwa mwanafunzi Iptisum Suleman Slim, wa Shule ya Chalinze Modern Islamic Pre and Primar alibadilishiwa namba yake akiwa chumba cha Mtihani.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema uchunguzi pia umebaini wanafunzi wengine sita walibadilishiwa namba ya mtihani katika mtihani wa taifa wa darasa la saba.

Kutokana na kosa hilo, Profesa Mkenda pia amesema Serikali imeifungia shule hiyo kuwa kituo cha mtihani kwa muda usiojulikana pamoja kuagiza watumishi waliohusika na udanganyifu kuchukuliwa hatua.

Pia soma:
 
Kawaida wazazi wana shirikiana na walimu ktk hizi tuhuma

Pia walimu utumia kusaidia vijana wao wasio jiweza waweze kutusua ili waweze kupata marks za kwenda shule nzuri private au government
 
Nadhani nimejibu hapo juu ndugu.Penda kujifunza.Nasisitiza "hau"?Na wala si "how"!
sijui....

Hau: Kiswahili, ufafanuzi, visawe, kinyume maana, mifano​

https://sw.opentran.net › hau

·Translate this page

Hau - Kiswahili, ufafanuzi, visawe, kinyume maana, mifano. Kiwelshi - Kiswahili mtafsiri.
 
Ni za kweli...Soma tena..
Narudia tena kuuliza.Kama tuhuma si za kweli,kwa nini shule ifungiwe?Nieleweshe
Mzee wewe huwa ni mbishi sana

Ngoja waje kukuuliza ni “hau” na “au” ulikuwa una taka itumia ipi na una maanisha nini?
Siyo ubishi.Neno "hau" hutumiwa na Wazulu wa SA kuonesha mshangao.Pitiapitia mafaili yako."How" na "hau" vitofautishe "dugu yangu veve"!
 
Back
Top Bottom