Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heading imerekebishwa aliyeandika aliteleza angalia heading sasa hivi inasomeka Tuhuma za kweliNarudia tena kuuliza.Kama tuhuma si za kweli,kwa nini shule ifungiwe?Nieleweshe
Hayo ni yako.Mimi niliandika "hau".Hau[emoji777] au[emoji736]
Vema.Heading imerekebishwa aliyeandika aliteleza angalia heading sasa hivi inasomeka Tuhuma za kweli
Unavuta ngada?Tuhuma si za kweli. Shule imefungiwa.Hau?
Kuwa mtulivu kijana. Unachokisoma saa hizi kimerekebishwa. Unataka nikugawie ngada uvute kidogo?Unavuta ngada?
Uko mbali wewe.. !!Narudia tena kuuliza.Kama tuhuma si za kweli,kwa nini shule ifungiwe?Nieleweshe.
Sipo mbali.Mbona ulivyokomenti tu na mimi nikakomenti.Uko mbali wewe.. !!
Sasa hapo ujibiwe nini?Tuhuma si za kweli. Shule imefungiwa.Hau?
Daaah we kweli mzulu hahaNarudia tena kuuliza.Kama tuhuma si za kweli,kwa nini shule ifungiwe?Nieleweshe.
Nimechoka kujibu maswali yenu.Kichwa cha habari hapo awali hakikuwa hivyo.Baada ya kuuliza kimerekebishwa/kuandikwa upya.Weye na wenzako mliochelewa kusoma uzi hamjui.Una swali lingine?Sasa hapo ujibiwe nini?
Au hujasoma huo uzi ?
Halafu huo uandishi wako unasoma darasa la ngapi?
Halafu kwa uandishi huo unakuta kijana amesoma mpaka form 4 pengine mpaka chuo ila anaandika hivyo[emoji1787]HAU? HII TANZANIA KUNA VIOJA!
Sipendi kukubali kitu kizuzu kama ndama.Daaah we kweli mzulu haha
Mkuu Hakuna invigilator Mkuu Bali kuna supervisor!!,
Penda kujiongezea misamiati weye!Neno "hau" nimelikopa kutoka lugha nyingine kabisa.Usikurupuke na kujidai unawashangaa vijana na kunilingaisha nao.Nipo hapa nanyoa mvi makwapani,karibu.Halafu kwa uandishi huo unakuta kijana amesoma mpaka form 4 pengine mpaka chuo ila anaandika hivyo[emoji1787]
Mie nawaona wengi tu siku hizi sijui tatizo nini?.
Enzi tunasoma sisi miaka ya 90 ilikuwa mwanafunzi wa darasa la tatu anajua kuandika vizuri, kupangilia sentensi na herufi lakini hawa wa siku hizi sielewi!
Sawaa mzulu nataliSipendi kukubali kitu kizuzu kama ndama.