Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Hakuna cheo Cha invigilator mkuu katika mitihani ya NECTA.Naomba majina ya hao wasimamizi wa mtihani siku hiyo
Invigilator mkuu nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cheo Cha invigilator mkuu katika mitihani ya NECTA.Naomba majina ya hao wasimamizi wa mtihani siku hiyo
Invigilator mkuu nani
Hao wengine sita mbona walikaa kimya? Au wao walikuwa wanafundishwa kwa Kiswahili?... kwenye ule uzi mwingine nili-comment "... English inajenga confidence sana ..."
Hebu fikiria huyo mtoto angeonekana kafeli maisha yangemharibikiaHao walimu waliohusika kwenye ujinga huo wamelaaniwa na watapata laana kubwa hapa duniani na akhera. Hawawezi kucheza na maisha ya watoto kwa sababu za kipuuzi wanazozijua wao wenyewe.
... hawakuwa na significant evidence kwamba wanadhulumiwa! Kugundua hutendewi haki ni jambo moja; na kutetea haki yako unapogundua unadhulumiwa ni jambo jingine.Hao wengine sita mbona walikaa kimya? Au wao walikuwa wanafundishwa kwa Kiswahili?
Hoja yangu ipo hapo, matendo hayatengenezwi kwa Lugha.
Iwe ni "Vivid evidence" au "Significant evidence" wote hao waliitwa kwa Mwalimu na kuambiwa wakae kimya. Kwamba na wao walibadilishiwa namba walijua.... hawakuwa na significant evidence kwamba wanadhulumiwa! Kugundua hutendewi haki ni jambo moja; na kutetea haki yako unapogundua unadhulumiwa ni jambo jingine.
Msamehe bure
Shule hizi zinazoendeleza ujinga , wizi na kughushi ndizo zinadumaza elimu nchini.Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA), limethibitisha kuwa mwanafunzi wa darasa la 7 Iptisum Suleman Slim, alibadilishiwa namba ya mtihani na uchunguzi umepelekea kugundulika kwa wanafunzi wengine 7 kubadilishiwa namba zao za mitihani, na kuchukua hatua ya kuifungia shule ya Chalize Modern kuwa kituo cha mitihani ya baraza hilo.
Waziri wa Elimu na Sayansi na Teknolojia, Mhe.Prof.Adolf Mkenda, amesema uchunguzi umebaini taarifa zilizotolewa na mwanafunzi huyo ni kweli.
ITV
=========
Uchunguzi uliofanywa na Baraza la Taifa la Mitihani, umebaini kuwa mwanafunzi Iptisum Suleman Slim, wa Shule ya Chalinze Modern Islamic Pre and Primar alibadilishiwa namba yake akiwa chumba cha Mtihani.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema uchunguzi pia umebaini wanafunzi wengine sita walibadilishiwa namba ya mtihani katika mtihani wa taifa wa darasa la saba.
Kutokana na kosa hilo, Profesa Mkenda pia amesema Serikali imeifungia shule hiyo kuwa kituo cha mtihani kwa muda usiojulikana pamoja kuagiza watumishi waliohusika na udanganyifu kuchukuliwa hatua.
Pia soma:
Huyu mkuu wa shule ameaibisha sana Uislamu.Hebu fikiria huyo mtoto angeonekana kafeli maisha yangemharibikia
Yaani viongozi wa kiislamu waingilie wamlazimishe mumiliki aondoke neno Islamic kwenye jina la shule anautia aibu uislamu na kuonea watoto waislamu wenye akili kama huyo msichana wa kiislamu waliyembadilishia namba
Kumekuwa na tuhuma kuwa Vyuo vikuu vinajaa wakristo wala nguruwe waislamu eti wengi wanafelishwa sekondari kumbe kwenye shule zenyewe za waislamu kuna Tatizo.Sasa huyo kilaza asiye na akili ambaye huyo aliyebadilishiwa namba isingegundulika angeenda sekondari na huyo mwenye akili angeonekana akili hana kafeli anabaki nyumbani
Sasa huyo bwege asiye na akili mbele ya safari huko iwe sekondari kidato cha nne au cha sita angetoboa kweli?
Akili hana form four tu angeweza pata division zero anaenda tu kuongeza idadi ya waislamu wapata division zero sekondari!! Na kuwajengea waislamu siasa kali hoja zisizokuwa na mashiko kuwa waislamu wanafelishwa sekondari.Kumbe vilaza walipelekwa tu na viongozi wa shule za kiislamu wenye majina ya kiislamu wasionna hofu ya Allah wamehongwa kupitisha watoto nusu kaputi kwa kudhulumu wale wenye jitihada na wanaomlingania Allah kama huyo msichana
We zuzu ndio Akili yako ilipoishiaWavaa kobazi wanasikitisha sana. Mkapa aliwapa chuo wamegeuza kituo cha unajimu. Wamekalia kukariri kitabu cha waarabu.
Kaabishaje uislamHuyu mkuu wa shule ameaibisha sana Uislamu.
Rubbish.We zuzu ndio Akili yako ilipoishia
Hasara kwa wazazi na familia
Swala kubwa ni system mbovu iliyopo! Pia hao wasimamizi ni bomu tupu. Na ndio maana nchinA wenye uelewa wanafunzi wanatahiniwa kila muhula mtihani ya mwisho ni points tu zinampitisha na hakuna kufeli!Naomba majina ya hao wasimamizi wa mtihani siku hiyo
Invigilator mkuu nani
Oky, nmekupata vizuriUnaleta sifa kwa shule na mmiliki.