NECTA yathibitisha tuhuma alizotoa mwanafunzi wa Chalinze Modern Islamic ni za kweli, Yaifungia shule

NECTA yathibitisha tuhuma alizotoa mwanafunzi wa Chalinze Modern Islamic ni za kweli, Yaifungia shule

Kwa ufupi ni shule ya kiislamu so lazma ifungwe ila ingekuwa ya wagalatia wangepotezea
 
Mi naona wahusika wote wapewe kesi ya Jinai, shule isifungiwe, maana bado ina Wanafunzi wengi tu wasiokua na hatia, na Wana haki ya kupata elimu!

Hiyo shule ina changamoto
Mtoto wa rafiki yangu anasoma hapo

Nimetoka kumshauri Mwezi uliopita amuhamishe kutokana na matukio anayorudi kusimulia nyumbani.

Wanaokoa wengi zaidi.
 
Wenzao wanafanya kila siku hayo ila husikii kufungiwa, wao wamejaribu tu fastaaaa
Kilichofanyika hakikubaliki na kufungia shule yote kufanya mitihani pia haikubaliki

Mtoto kawachomea ndio maana wakagundulika. Inawezekana ndio mchezo wao huko nyuma.
 
Hiyo shule ina changamoto
Mtoto wa rafiki yangu anasoma hapo

Nimetoka kumshauri Mwezi uliopita amuhamishe kutokana na matukio anayorudi kusimulia nyumbani.

Wanaokoa wengi zaidi.

Kuna matukio gani Hapo mkuu?. Maana Kuna watu wanadai wameonewa kisa dini.
 
Huwa kuna tuzo ya Mwanamke jasiri nimesahau watoaji huyu msichana watetezi wa haki za binadamu ,vyama vya wanasheria nk wampe tuzo ya jasiri

Msichana kusimama single handedly kutafuta haki yake

Hakuna mijitu mibwege nchi hii kama hao wanaojitia watetezi wa haki za binadamu Tanzania. njaa tu unawasumbua.Mtoto kwa kuwa hakuwa na hela hakuna hata taasisi moja ya kutetea haki za jamii iliyojitokeza kumsaidia.Waliufyata sababu wanaona hamna maslahi ya hela.

Hata Chadema wanaojifanya watetezi wa wananchi hawakujitokeza walijifungia kwenye vyoo vya ofisi ya makao makuu ya Chadema Ufipa.Utafikiri hata hawakusikia malalamiko ya huyo mtoto

Huyo msichana apewe nisha ya ujasiri ita motivate wasichana wengine kuwa bold kwenye kudai haki zao ns kuwa na misimamo wanapoonewa au kutaka kuonewa

Niwapongeze waandishi wa habari wamefanya kazi kubwa sana
Ccm ndiyo iliyoharibu mfumo wa elimu wewe unakuja kuangaika na chadema.umekosa hoja wewe.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Shule za Kiislamu huwa za hovyo sana. Angekuwa amefanyiwa hivyo kwenye shule nyingine wangeibuka na kusema Waislamu wanaonewa. Hii inathibitisha kwanini shule zao huwa hazifanyi vizuri hata siku moja
 
Kawaida wazazi wana shirikiana na walimu ktk hizi tuhuma

Pia walimu utumia kusaidia vijana wao wasio jiweza waweze kutusua ili waweze kupata marks za kwenda shule nzuri private au government
Basi kama ndivyo mfumo wa majina urudishwe lakini pia hizo shule za Kiislamu ziajiri walimu wenye uwezo kichwani bila kuangalia dini ya mtu isipokuwa tu masomo ya dini yao nasema wasiajiri majina bali uwezo wa mwalimu, japo ni ngumu katika akili na mioyo yao hakuna namna nyingine maana kujitawala hawawezi ona shule yenyewe ya Kiislamu ila mambo wanayoyafanya ya kishetani wasivyo na uchamungu hata chembe.
 
Dogo Iptisum bora ameongea angekaa kimya ndio story zingekua zilezile alikua na akili sana halafu amefeli.

Tena kuna wale walimu viherehere wanakutolewa mfano kabisa "Mnamjua Iptisum alikua na akili sana lakini amefeli kwa kukosa nidhamu"
Mzazi kaiamini Chalinze Modern Islamic School akiamini ni shule ya dini yenye maelezi bora kwa ajili ya mwanaye kielemu lakini haikuwa hivyo.
 
Mzazi kaiamini Chalinze Modern Islamic School akiamini ni shule ya dini yenye maelezi bora kwa ajili ya mwanaye kielemu lakini haikuwa hivyo.
Wapigaji wanatumia mwamvuli wa dini kuvutia wazazi na wanafunzi. Halafu wanafanya matendo ya kishetani.
 
Mkuu nisaidie what is the point ya kumbadilishia huyu mtoto na wenzake namba? Nashindwa kuelewa
Mwenye akili anapewa karatasi yenye namba ya mjinga ili amfanyie mtihani.

Matokeo yakitoka hiyo namba ya mjinga insonekana kafaulu sana na anaenda sekondari

Namba ya mwenye akili anapewa mjinga chumba cha mtihani yakisahihishwa.buyo.mwenye akili matokeo yake yatakuwa mabaya hivyo matapeli

Lengo la hiyo shule lilikuwa kujifelisha huyo mwenye akili na kumfaulisha mjinga
 
Shule za Kiislamu huwa za hovyo sana. Angekuwa amefanyiwa hivyo kwenye shule nyingine wangeibuka na kusema Waislamu wanaonewa. Hii inathibitisha kwanini shule zao huwa hazifanyi vizuri hata siku moja
Hivi Nini Dawa ya Walimu Wapiga deal mashuleni!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye akili anapewa karatasi yenye namba ya mjinga ili amfanyie mtihani.

Matokeo yakitoka hiyo namba ya mjinga insonekana kafaulu sana na anaenda sekondari

Namba ya mwenye akili anapewa mjinga chumba cha mtihani yakisahihishwa.buyo.mwenye akili matokeo yake yatakuwa mabaya hivyo matapeli

Lengo la hiyo shule lilikuwa kujifelisha huyo mwenye akili na kumfaulisha mjinga
Kuna Mzazi mmoja hapo katoa mpunga mnene sana kwa hao Walimu ili mwanae afaulu japokua jinga, mwisho wa siku ndiyo haya mengine yamepata kazi za uhakimu alafu yanakua na maamuzi ya hovyo sana Kama Waheshimiwa!!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye akili anapewa karatasi yenye namba ya mjinga ili amfanyie mtihani.

Matokeo yakitoka hiyo namba ya mjinga insonekana kafaulu sana na anaenda sekondari

Namba ya mwenye akili anapewa mjinga chumba cha mtihani yakisahihishwa.buyo.mwenye akili matokeo yake yatakuwa mabaya hivyo matapeli

Lengo la hiyo shule lilikuwa kujifelisha huyo mwenye akili na kumfaulisha mjinga
Ila tusicheke na kima jamani,hili ni tendo la ukatili kwa Watoto wetu wasiokua na hatia.!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huwa kuna tuzo ya Mwanamke jasiri nimesahau watoaji huyu msichana watetezi wa haki za binadamu ,vyama vya wanasheria nk wampe tuzo ya jasiri

Msichana kusimama single handedly kutafuta haki yake

Hakuna mijitu mibwege nchi hii kama hao wanaojitia watetezi wa haki za binadamu Tanzania. njaa tu unawasumbua.Mtoto kwa kuwa hakuwa na hela hakuna hata taasisi moja ya kutetea haki za jamii iliyojitokeza kumsaidia.Waliufyata sababu wanaona hamna maslahi ya hela.

Hata Chadema wanaojifanya watetezi wa wananchi hawakujitokeza walijifungia kwenye vyoo vya ofisi ya makao makuu ya Chadema Ufipa.Utafikiri hata hawakusikia malalamiko ya huyo mtoto

Huyo msichana apewe nisha ya ujasiri ita motivate wasichana wengine kuwa bold kwenye kudai haki zao ns kuwa na misimamo wanapoonewa au kutaka kuonewa

Niwapongeze waandishi wa habari wamefanya kazi kubwa sana
Hii issue imekuwa "viral" baada ya Mwana CHADEMA kuisambaza. Hivyo usiwalaumu kabisa hao.
Jaribu uwe unajiridhisha kwa kupata taarifa sahihi kabla ya kuandika uzezeta wako.
 
Alichofanyiwa huyu mwanafunzi na familia yake ni jambo baya mno kwa hiyo baba mzazi ndugu Suleiman Slim chukua hatua stahiki dhidi ya uongozi wa shule ya Chalinze Islamic Modern.
 
Back
Top Bottom