NECTA yathibitisha tuhuma alizotoa mwanafunzi wa Chalinze Modern Islamic ni za kweli, Yaifungia shule


Mzazi wa mtoto mjinga anakua amehonga au?
 
solution ya watoto walio maliza shule hiyo ikoje?
Shule imefungiwa ili khali matokeo hayajatoka na wazazi wame spent lots of money kwa ada za watoto wao
 
Huyo binti Serikali impeleke shule za vipaji maalumu anaonyesha ana akili nyingi mno kuanzia darasani hadi uelewa mkubwa wa kisheria wa kudai haki zake

Mbeleni aweza ifaa nchi huyo Nadhani naeleweka kwa wenye uelewa
Ni udanganyifu, au ni hujuma ?
 
Afande mmoja, afisa usalama mmoja, wa walimu kadhaa walikuwepo hapo wanalinda hawa nao Kwa taarifa za chini chini nao walikula mgao je tunawaachaje?

Mhe. Waziri futa kazi hao waliokuwepo siku hiyo Ili liwe funzo Kwa wote.
Pole sana, TANZANIA Ni nchi yenye Sheria , hivyo hao Kama Ni kufukuzwa Sheria lazima zifuatwe
 
Mwenye Shule amehusikaje na hiyo kadhia?

Majibu ya uchunguzi ,yameaacha Maswali mengi bila kujibiwa.

Tumeambiwa wahusika nipamoja na watumishi wa Serikali.
Japo nimemsikia waziri akisoma majibu ya uchunguzi huo , hajaenda mbali nakutueleza kama waliangalia kwa undani zaidi. je ni uzembe au kulikua na hujuma ndani yake?

Kumbuka hata huo uzembe unazaa hujuma lakini , kama haikuwepo Nia ya dhati kumhujumu mtu au taasisi, haiwezi kuitwa hujuma mojakwamoja.
Binafsi naona mimiliki anaonewa, hata kumfungia isiwe kituo Cha mtihani Bado ni uonevu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…