Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

Huduma, kipato.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mimi ninao 8 na wote wapo njema. Hakuna alie enda shule na kidumu cha maji wala ufagio.
Wapo ambao wamefika vyuo na maisha yanaenda, nashkuru Allah wote wana afya njema Alhamdulillah.
Lakini chakunishangaza hata wao wamewahi kuniuliza kwamba "eti baba, kwanini ulituzaa wengi hivi??"
Niliwahibu kwamba, watoto ni baraka, na nikawashauri wasije wakazaa watoto wanao zidi uwezo wa kuwahudumia...😊
 
Mimi ninao 8 na wote wapo njema. Hakuna alie enda shule na kidumu cha maji wala ufagio.
Wapo ambao wapo vyuo na maisha yanaenda, nashkuri Allah wote wana afya njema Alhamdulillah.
Lakini chakunishangaza hata wao wamewahi kuniuliza kwamba "eti baba, kwanini ulituzaa wengi hivi??"
Niliwahibu kwamba, watoto ni baraka, na nikawashauri wasije wakazaa watoto wanao zidi uwezo wa kuwahudumia...[emoji4]
Kwakweli,zaa watoto ni baraka.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, mimi sioni ubaya wa kua na watoto wengi. Kikubwa ni kutafuta hela tu nahayo mengine yatakaa sawa kabisa....😊😊
Mzee baba nilikuwa nakutafuta😁😁😁 hapo hata nyumba lazima iwe kubwa kabisa ya kuwatosha watoto wako. Mzee watoto nane sio kazi ndogo kuwalea, chakula sio issue, hapo kazi ni kuwapeleka kupata maarifa ya dunia.
 
Mzee baba nilikuwa nakutafuta😁😁😁 hapo hata nyumba lazima iwe kubwa kabisa ya kuwatosha watoto wako. Mzee watoto nane sio kazi ndogo kuwalea, chakula sio issue, hapo kazi ni kuwapeleka kupata maarifa ya dunia.
Mkuu, vijana wanapata maarifa quality bila khiyana. Na hata sijawahi ona nyasi za njia ya maliwato zikikauka....🤗
Na pangelikua na changamoto basi lazima baadhi ya mamazao wangenianzishia uzi hapa ndani, maana wapo baadhi ni member na hua nawaona kabisa wanawaponda singo mamaz...😜
 
Yan zama hizi kuwa na watoto zaidi ya watatu ni kujitafutia matatizo
kwa mshahara wa 1m kwa mwezi wengine chini ya Hapo kweli nakubaliana na wewe

na ukute muingiza kipato n mmoja tu mama au baba tu wengine watumiaji hilo kweli tatizo

binafsi Bila watoto 15 Mungu aniache kwanza asinichukue,yani mimi hapa duniani naamini maendeleo

ni vitu viwili tu

1.Pesa Nyingi
2.Watoto

Tena ndio nije kufikia level za wale matajiri top score "mbona ntafungua na shule yangu binafsi" maana ni ntawafyatua haswa.

Uwezo kama Upo Leta watoto wa kutosha,FUrsa ni nyingi,mitaji ipo hatuna wakusimamia projects,nk kuliko uajiri watu baki si bora kila kampuni akae mtoto wako.

Masoud na awalete zaidi, kama ni world record eneo la watoto Nitaivunja asee. Ni ushamba na ubinafsi kuwa na pesa kama Dangote halafu una vitoto vi 3.
 
ndo maana ule mradi wake wa kuunga gari umekufa! Pata picha kama wanafuatana halafu wote wanahitaji kwenda chuo! Patamu apo!
 
Back
Top Bottom