National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
π π π π goja nipambane niteteme kama mayeleJitahidi mdau..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π goja nipambane niteteme kama mayeleJitahidi mdau..
Hao wenzetu wameamua kuyaishi matendo ya Mtume Paulo, yeye alisema mkiweza muishi kama Mimi (Yeye Mtume Paulo) na iwapo wakishindwa basi waoe.mbona mapadre hawaijazi dunia?
kwahiyo kama unaweza kuwa na watoto wote wa kwako, issue ya kuchapiwa sio mbaya sana, kwa unavyomaanisha.Hoja yako ilikuwa kuna watoto huenda siyo wake na hapo nimekuthibitishia kuwa siyo lazima iwe hivyo. Hao wenye mke mmoja wanachapiwa kupita maelezo kwa hiyo hoja yako haina mashiko!
Hivi watoto wote waliofanikiwa kimasomo wamesomeshwa English medium? Mimi nina watoto watano na wote wamesoma shule za kawaida za serikali na wote wamemaliza vyuo vikuu!ndio nasomesha watoto wangu wote english mediam, najua ninachoongea ndio maana nimeandika hivyo. wewe najua hujafikia kwenye hayo majukumu na ninachoongea hapa hukijui. usije kujichanganya. mtoto usipomsomesha vizuri umelea jambazi la baadaye au umelea mtu atakayekuwa anasubiria ufe arithi mali kwasababu hatakuwa na uwezo wa kutafuta za kwake. au akijitahidi kutafuta atatafuta kienyeji kwa kukuweka ndagu.
Kuchapiwa hata huyo mmoja anachapwa au hujawahi kusikia au kuona?kwahiyo kama unaweza kuwa na watoto wote wa kwako, issue ya kuchapiwa sio mbaya sana, kwa unavyomaanisha.
Hayo matatizo yatakuja tu iwapo unaishi maisha ya kuungaunga. Ila kama una maisha ya uhakika; wala hakuna tatizo lolote lileaa
ssasa sikia, tusipoteze muda kubishana. wewe somesha watoto wako kayumba, watafanikiwa tu. ila mimi nimesoma kayumba nikilinganisha masomo niliyokuwa nasoma nikiwa primary na wanayosoma au uelewa wa watoto wa siku hizi wa primary wanaosoma english medium, ninacho cha kujifunza. pia, pamoja na kusoma kayumba, naamini ningesoma english medium kuna baadhi ya hustles nilizozifanya zingefanikiwa kwepesi zaidi kuliko nilivyokuwa kayumba kwasababu imenikuchua muda mrefu kucope. kiingereza nimeenda kukijulia ulaya na marekani, pamoja na kwamba university degree ya kwanza nilisomea bongolala.Hivi watoto wote waliofanikiwa kimasomo wamesomeshwa English medium? Mimi nina watoto watano na wote wamesoma shule za kawaida za serikali na wote wamemaliza vyuo vikuu!
Ujambazi ni kipaji au hulka ya mtu hata waliosoma English medium baadhi ni majambazi na wezi!
Hanywi pombe. Havuti sigara. havuti shisha. Yeye anavuta harufu moja tu....perfume ya ile kitu π π π π πMasoud Huyu Huyu?
Jamaa ana wake wanne?
Watoto kumi na Tano
Alafu mchizi ana Sigida dadeki
Mchizi atakuwa na mshipi!
Mchizi noma
Kabisa nasubiri nina zawadi ya Aunt... π ππ π π π goja nipambane niteteme kama mayele
Hivi pesa anapata wapi huyu?
Ok.
Tanzania pesa za madili nyingi sana ni wewe tu kuamua
Ataacha kuchukua rushwa na kuuza utu wake kwa aina hii ya uzaziNina miaka 12 kwenye ndoa na Masoud Kipanya na nina watoto saba, lakini pamoja na wake wenzangu watatu jumla tuna watoto 15" amesema Neema Kipanya, mke wa mtangazaji maarufu wa redio Masoud Kipanya wakati akielezea masuala ya uzazi katika kipindi cha Sasambu cha TBC FM.
π π π π ... hayaa banaaa unajua alipata majanga.. hadi baada ya miaka miwili kwa usalama wake ndio anaruhusiwa... goja niendelee kupiga jaramba kwanzaaa... maama wengine kutupia nje mwikoKabisa nasubiri nina zawadi ya Aunt... π π
Au wanasiasa wanampa mpunga asiwachore?Jamaa yuko vizuri sana. Hashobokei mambo ya kijingakijinga. na zile cartoon zake zinapiga ngumi ya chembe kwa wahusika
majanga gani tena? Walivunja mwiko, maana sio kwa mapishi hayo! Kila usiku yuko busy vitani π π π π ππ π π π ... hayaa banaaa unajua alipata majanga.. hadi baada ya miaka miwili kwa usalama wake ndio anaruhusiwa... goja niendelee kupiga jaramba kwanzaaa... maama wengine kutupia nje mwiko
Who knows? Kila mtu ana bei yake. Putin shahidi yetu. Jmosi alizanza kujamba mwenyewe ikuluAu wanasiasa wanampa mpunga asiwachore?
Hapo dhambi ni ipi? kuwa na wake wanne au watoto?Alafu mchizi ana Sigida dadeki
Mbona shule kibao zina ada chini ya Milioni 1?Kiuchumi, watoto watatu ada 6M, msosi 5M total 11M, mshahara 700k kichwa kinawaka moto, hapo hujaweka ukiwa nao 5 au 15 kama KP