Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

Ukishakuwa na mawazo ya kuchapiwa unateseka sana. Tatzo ni kwamba asiye na mke anachapiwa zaidi maana sijui ndo Girl friend yupo huru kukitembeza. Mke wa masood mpaka akitembeze ni lazima ajifiche fiche sana ila girlfriend wa masood wanamptandika tu. Ukitaka kuwa na mwanamke asiyetumika sana, muoe. Masood kafanya sahihi kwa dini yake.
mimi kwenye girlfriends sipo. nipo kwenye mke mmoja utakayetumia nguvu na uwezo wako wooote kumchapa hadi aridhike kiukweliukweli. ila kusema wake 4 wakusubiri kila mmoja wiki 3 ndio umgonge tena ukiwa umetoka kuchoshwa na wakewenza, hapo kwa kukufariji nitakubaliana na wewe ili moyo usikuume, ila ukweli ni kwamba mnagongewa ila kwa kujificha. ila kugongewa mnagonewa mazee.
 
Dunia inaendeshwa na wenye kipaji ,kisomo ni vitu vya ziada
ungeongeza na kwamba pamoja na kipaji, ila ni yule tu aliyekuwa exposed kwenye opportunity ndiye atafanikiwa. unaweza kuwa na kipaji kinachohitaji kusaidiwa na kisomo,kama kisomo huna kipaji chako utakihifadhi sandukuni.
 
Kongole kwake mwamba[emoji106][emoji109][emoji123][emoji1666][emoji117][emoji2956][emoji2956]
 
Hapo na bado anazaa,watafika 50.Malezi mema kwao..Neema kazaa saba.Mara nyingi kwenye uke wenza,wengi mnazaa sana sababu ya wivu tu,kukomeshana n.k
Na kukomeshana huko ndio furaha kwetu wanaume....

Mwanaume atafute hela tu mengine ni mepesi.....
 
Hongera bwana Masoud Kipanya Kwa kututoa Kimasomaso Wanaume.Unastahili Maua.[emoji3590][emoji3590][emoji177][emoji177][emoji68]‍[emoji3590]‍[emoji68][emoji253][emoji257][emoji1651][emoji259][emoji259][emoji255]🪷[emoji254][emoji2530][emoji272][emoji260]🪻[emoji263][emoji268]

---
Nina miaka 12 kwenye ndoa na Masoud Kipanya na nina watoto saba, lakini pamoja na wake wenzangu watatu jumla tuna watoto 15" amesema Neema Kipanya, mke wa mtangazaji maarufu wa redio Masoud Kipanya wakati akielezea masuala ya uzazi katika kipindi cha Sasambu cha TBC FM.




My Take
Tuache uvivu wa kuzaa na kuogopa maisha.
[emoji2956]
 
Nina miaka 12 kwenye ndoa na Masoud Kipanya na nina watoto saba, lakini pamoja na wake wenzangu watatu jumla tuna watoto 15" amesema Neema Kipanya, mke wa mtangazaji maarufu wa redio Masoud Kipanya wakati akielezea masuala ya uzazi katika kipindi cha Sasambu cha TBC FM.
Ni matumaini yangu kuwa hata Status zao za 1981 WHO Virus nazo ziko vizuri na kamwe hawaishi kwa Matumaini.
 
Kuna watu wana watoto kama kijiji umasaini huko...
 
ukiwa na wake 4 labda uwe mchawi, ili uwe unawapiga busha wanaokuchapia. kwasababu uhalisia kibiolojia ni kwamba, mwanaume mmoja hawezi kuwatosheleza wanawake 4. hata wanawake hao wakijifanya wanatosheka, kuna uwezekano mkubwa hawajui hata kutosheka kukoje. imagine, kwa wale wanaoijua ngono, una wake 4, mwezi una wiki 4, hivyo kila wiki utakuwa unalala kwa mmoja, na mwingine atasubiri hadi wiki 3 zipite ndio akutane na wewe. anakukusanyia nyege za wiki 3 wakati wewe ndio unatoka zamu ya mzunguko umekamuliwa vilivyo na mwingine aliyekusubiri kwa wiki 3 and the cycle goes on and on. utazidiwa tu au utapiga isivyokamilifu afu ataondoka nazo, ukiwa kwenye mzunguko wa wiki tatu zijazo utasaidiwa tu hata ufanyeje. hata ujifariji vipi lazima usaidiwe, uzuri ni kwamba hautajua ila kusaidiwa utasaidiwa.
Acha kukariri wewe! Kinachotakiwa ni kupanga ratiba nzuri, mfano mwanamke wa kwanza anakuwa na mtoto wa miezi miwili, wa pili anakuwa na mimba ya miezi sita wa tatu anakuwa na mimba ya miezi miwili wa nne anakuwa fresh. Vipi hapo huwamudu tu?
 
Acha kukariri wewe! Kinachotakiwa ni kupanga ratiba nzuri, mfano mwanamke wa kwanza anakuwa na mtoto wa miezi miwili, wa pili anakuwa na mimba ya miezi sita wa tatu anakuwa na mimba ya miezi miwili wa nne anakuwa fresh. Vipi hapo huwamudu tu?
kwani mwanamke akiwa na mtoto kuanzia miezi 2 huwa hangonoki? hana ashiki? akiwa na mimba joto limeongezeka huwa hangonoki? au wewe ni wale unatia mimba afu hadi mtoto aache kunyonya ndio unarudi kwa mkeo, unachapiwa mzee. na akiwa na mimba, nani anakusaidia kutengeneza njia? au ndio umeacha yeye mwenyewe ajiongeze.
 
Acha kukariri wewe! Kinachotakiwa ni kupanga ratiba nzuri, mfano mwanamke wa kwanza anakuwa na mtoto wa miezi miwili, wa pili anakuwa na mimba ya miezi sita wa tatu anakuwa na mimba ya miezi miwili wa nne anakuwa fresh. Vipi hapo huwamudu tu?
iyo kitu ikiwa na mimba inachapwa hadi wiki mbili au moja kabla ya kujifungua. kama huwa huchapi, basi unachapiwa. akiwa na mtoto siku 60 zikiisha tu unachapa hadi mtoto aache kunyonya na akutane na mtoto mwenziwe. kwahiyo hayo hayaathiri hitaji lake la ngono.
 
mtu anayezaa watoto wengi ni mtu anayeamini kwamba kisomo, sio cha muhimu sana duniani bali kipaji. hivi kweli masoud kipanya ataweza kusomesha watoto english medium ya 2m kwa mwaka, kwamba mfano alipe 30m kwa mwaka ada tu, bado matumizi mengine na chakula etc, au wanasoma kayumba?
Wewe na huyo mke mmoja unasomesha watoto wako English medium?
 
Wewe na huyo mke mmoja unasomesha watoto wako English medium?
ndio nasomesha watoto wangu wote english mediam, najua ninachoongea ndio maana nimeandika hivyo. wewe najua hujafikia kwenye hayo majukumu na ninachoongea hapa hukijui. usije kujichanganya. mtoto usipomsomesha vizuri umelea jambazi la baadaye au umelea mtu atakayekuwa anasubiria ufe arithi mali kwasababu hatakuwa na uwezo wa kutafuta za kwake. au akijitahidi kutafuta atatafuta kienyeji kwa kukuweka ndagu.
 
iyo kitu ikiwa na mimba inachapwa hadi wiki mbili au moja kabla ya kujifungua. kama huwa huchapi, basi unachapiwa. akiwa na mtoto siku 60 zikiisha tu unachapa hadi mtoto aache kunyonya na akutane na mtoto mwenziwe. kwahiyo hayo hayaathiri hitaji lake la ngono.
Hoja yako ilikuwa kuna watoto huenda siyo wake na hapo nimekuthibitishia kuwa siyo lazima iwe hivyo. Hao wenye mke mmoja wanachapiwa kupita maelezo kwa hiyo hoja yako haina mashiko!
 
Back
Top Bottom