Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
- Thread starter
- #21
Ipo inaitwa St jude, ipo chini ya wazungu elimu bure mpaka chuo kikuu mzazi hanunui hata pencil.Angeanzisha mswahili angefuatiliwa hela katoa wapi.
Hukohuko Arusha Kuna shule iliyokua inatoa elimu kwa vijana wasio na uwezo wa kulipa ada, matokeo yake walipata bill ya TRA ya kufa mtu. Hivi Ile shule ilishafunguliwa?