Neema Village, Mzungu anayebadilisha maisha ya Wakina Mama Arusha, serikali yetu inakwama wapi?

Wazungu lazma waingie peponi. Licha ya mabaya na machafu wanayoyafanya Duniani lakini wanajua saana kumfuraisha Mungu.

Mwafrika yeye roho mbaya tu.
 
Ni mawazo yako tu

Arusha kuna NGO nyingi sana zinazosaidia watu na wala hawapati chochote in return

Wenzetu wanautaratibu wa kutoa sadaka kwa wahitaji tofauti na sisi tunatoa sadaka kwa wachungaji
Benefit zipo tu nipo Chuga naandika sana hii miradi kwenye makampuni ya Utalii na NGOs....hii ni mbadala wa misaada ya makanisa...kila mtu anafaidika kwa nafasi yake
Some time huwa tunaruka mamtoni kufanya Fundraising
 
Hela za NSSF mijitu imejimilikisha hii ni mfano wa Roho mbaya na ukatili wa yenyewe kwa yenyewe....
 
Hela za NSSF mijitu imejimilikisha hii ni mfano wa Roho mbaya na ukatili wa yenyewe kwa yenyewe....
Ndo mana hii nchi ipo nyuma sana kutokana na ubinafsi Wa watu wachache.
Tuna safari ndefu kwa kweli
 
Hawajui ngozi nyeusi huyo watajazana wanawake wote hapo kwake walioolewa kwa kisingizio cha singo maza..........sababu moja tu ya ugumu wa maisha huku mtaani
Ugumu wa maisha unafanya mtu afanye asichokitarajia.
 
Wazungu lazma waingie peponi. Licha ya mabaya na machafu wanayoyafanya Duniani lakini wanajua saana kumfuraisha Mungu.

Mwafrika yeye roho mbaya tu.
Hahaha

Nimecheka sana mkuu[emoji23][emoji23][emoji38]
 
Tujiulize, yeye na wenzake wanafaidika nini hasa? Manake tusifurahie hii misaada in the name of misaada. In the end kuna namna anafaidika tu. Hakuna mtu mweupe mjinga mjinga.
Sio ujinga ni msaada...hivi waafrika mna matatizo gani?[emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hili ndo neno la uzima[emoji122][emoji122]
 
Wewe ulitaka asifaidike sio? Au ulitaka awe katika hali gani ili uridhike,? Wabongo Muwe na shukrani
Yaan hawaamini kama ni bure kutokana na roho za kiafrika zilivyo tunajijua[emoji848]
 
Yaan hawaamini kama ni bure kutokana na roho za kiafrika zilivyo tunajijua[emoji848]
Kuna bibi mmoja mwezi uliopita alikuwa katika hali ngumu sana ya maisha, ameparalise upande mmoja wote, hana hata godoro na chakula anakula mlo mmoja kwa siku tena hakina hata mafuta Hakika nililia sana pale maana nilishindwa kujizuia mbele yale, baada ya. Pale nikaongea na mtu mmoja yupo nje ambae pia anamfahamu huyo bibi nikamuelezea.
Yan pale pale akaniambia nitafute mama wa kumuhudumia kama vile kumpikia na kumuogesha kila siku, akapata kigari cha miguu mitatu na chakula kila mwezi kinanunuliwa kwa gharama za huyo Mama niliyempigia simu. Yule bibi leo anafuraha sana maana ana uhakika wa kula kila siku.
Hakika Nimeona ukuu wa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…