Neema Village, Mzungu anayebadilisha maisha ya Wakina Mama Arusha, serikali yetu inakwama wapi?

Sio ujinga ni msaada...hivi waafrika mna matatizo gani?[emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
No free lunch duniani witty, naamini unalijua hilo. Waafrika tuna matatizo ya kupenda "slope kitonga" hayo ndio matatizo yetu!!
 
No free lunch duniani witty, naamini unalijua hilo. Waafrika tuna matatizo ya kupenda "slope kitonga" hayo ndio matatizo yetu!!
Wewe unahisi wanataka nini kwetu zaidi ya msaada mkuu?
 
Duuuh ulifanya jambo jema sana

Mungu ambariki huyo mtu wa nje
 
Wewe unahisi wanataka nini kwetu zaidi ya msaada mkuu?
Kuna kitu wanataka, whites are ahead of us kwa kila kitu. Wao wahenyeke mikodi kibao kwao wakuleteeni bure tu? Uzuri na sisi tunapenda vya bure so tuendelee kupewa![emoji39]
 
Anazo kusanya huko kwao toka kwa wafadhili wake ni nyingi maradufu.
 
Masai wamefanywa kivutio cha watalii kama simba na tembo na sisi tinafumbia macho.Serikali huwa inasema wazi muws inajivunia wamasai kwa sababu ni kivutio cha watalii.Wazungu nao wanawatumia masai kupiga pesa.
Huu ujinga siupendi jspokuwa mimi sio masai.
Masai wanavunjiwa sana heshima na utu wao kama binadamu.
 
Akili hio hio babu zenu wakauza ardhi kwa shanga na vioo na mashuka.Eti anasaidia, bado tunawaza kusaidiwa kama vile viwete.Duuu!!!
 
Serikali haijashindwa popote ila kwanza tuzione kura zao na kadi za zao za CCM.
 
CONCERN walitujengea shela ya msingi msaada miaka hiyo hadi leo ipo kijijini sna hawakufaidika na chochote
 
Concern ya mbongo ni kupiga tu. Yeye haangalii madhara ilmrad fedha anaingiza basi.

Utasikia huyu mzungu anapiga hela nyingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…