Nehemia Mchechu bila ya ‘speed governor’ ni tatizo. Ndugu zangu wa mitaa ya ‘Al Muntazir’ Upanga mjipange

Nehemia Mchechu bila ya ‘speed governor’ ni tatizo. Ndugu zangu wa mitaa ya ‘Al Muntazir’ Upanga mjipange

Sio kwamba maeneo ya wazi, hayo ni machache na ni yao NHC.

Ila wana mpango wa kuvunja blocks na kutoa wapangaji na hawana hela ya wao kuendeleza. Baada ya hapo wanatafuta matajiri wajenge wao kama wabia tu.

Sasa kwanini utoe watu in the first place.
Ndo hicho ninachokimaanisha, kuwanyanyasa wanyonge ili uwape fursa matajiri kwa sababu wao wanaweza kutoa rushwa.
 
Hivi hii sera ya ubia ya NHC ilipelekwa kabisa kwenye baraza la mawaziri, wakailewa na kusema sawa.

Mtu ana mpango wa kwenda kuvunja majengo kadhaa kisa tu yapo prime areas na kuwatoa wapangaji sio tu hana hela ya kuendeleza yeye mwenyewe bali the immorality of it all is beyond me.

Kama hela kila kitu basi sasa hivi kusingekuwa na nyumba za ovyo Mikocheni, Msasani, Tetegeta, Kariakoo, Ilala na prime areas zingine za bongo.

Kila mwenye nyumba tokea miaka ya 80 isiyoendana na nyumba zinazojengwa leo maeneo hayo sasa hivi ingekuwa keshahama kitambo kwa kuuza.

Uwezi kunyanyasa watu kwa sababu eneo ni prime na serikali ina miliki nyumba kwa hivyo vunja tu.

Juzi raisi Samia katoka kwenye msiba uingereza eneo alilopanda basi maeneo ya ‘Marble Arch’ mbele kidogo tu ‘Oxford Street’ sidhani kama kuna prime area duniani kama hapo (labda Tokyo) na kuna council flats zilijengwa zamani. Safari yake ya mile mbili kufika msibani mpaka Westminster njia nzima ina sehemu kuna nyumba za serikali in short ‘west end’ yote ina maeneo yana council flats ambazo ingelikuwa ni matakwa ya matajiri tu wangeshanunua zote na kuzivunja. Lakini hata kwa nchi za mabeberu it’s immoral and inhumane uwezi fanya ivyo.

Na ndio sera inayofanya watu matajiri watafute maeneo mengine ya kuendeleza na kutengeneza future prime areas.

Ni hivi huyu Nehemia hana uwezo na nafasi anayopewa hapo NHC alianza Tibaijuka kumfunga speed governor alizuia huu mpango alipokuwa waziri, Lukuvi nae akamfunga tena speed governor kwenye kuwapandishia kodi wapangaji kwa asilimia 200% na kumtaka aache tena kupandisha kodi ovyo (hizo zilikuwa zama za J.K) na Magufuli ndio akamtibua kabisa kwa kutaka kuendelea serikali kumpatia dhamana ya mikopo ambayo inaishia kuhudumiwa na walipa kodi badala ya miradi anayojenga.

Huyo mtu hana uwezo wa kufanya miradi ya kibiashara inayohitaji mbinu anataka vitu rahisi tu kutekelezeka.

Hiyo sera inaenda waumiza watu kwa sababu ambazo hazina msingi wa kibiashara ya shirika la umma ata kidogo.

Nehemia Mchechu ni wizi na JPM alimfahamu vema na kumfukuza kazi.​

Bi ushugi kashauriwa na JK kumrudisha kwenye nafasi ile ile.​

JPM akarudi leo kwa bahati mbaya huyu mama ataelekea wapi?​

 
Hivi hii sera ya ubia ya NHC ilipelekwa kabisa kwenye baraza la mawaziri, wakailewa na kusema sawa.

Mtu ana mpango wa kwenda kuvunja majengo kadhaa kisa tu yapo prime areas na kuwatoa wapangaji sio tu hana hela ya kuendeleza yeye mwenyewe bali the immorality of it all is beyond me.

Kama hela kila kitu basi sasa hivi kusingekuwa na nyumba za ovyo Mikocheni, Msasani, Tetegeta, Kariakoo, Ilala na prime areas zingine za bongo.

Kila mwenye nyumba tokea miaka ya 80 isiyoendana na nyumba zinazojengwa leo maeneo hayo sasa hivi ingekuwa keshahama kitambo kwa kuuza.

Uwezi kunyanyasa watu kwa sababu eneo ni prime na serikali ina miliki nyumba kwa hivyo vunja tu.

Juzi raisi Samia katoka kwenye msiba uingereza eneo alilopanda basi maeneo ya ‘Marble Arch’ mbele kidogo tu ‘Oxford Street’ sidhani kama kuna prime area duniani kama hapo (labda Tokyo) na kuna council flats zilijengwa zamani. Safari yake ya mile mbili kufika msibani mpaka Westminster njia nzima ina sehemu kuna nyumba za serikali in short ‘west end’ yote ina maeneo yana council flats ambazo ingelikuwa ni matakwa ya matajiri tu wangeshanunua zote na kuzivunja. Lakini hata kwa nchi za mabeberu it’s immoral and inhumane uwezi fanya ivyo.

Na ndio sera inayofanya watu matajiri watafute maeneo mengine ya kuendeleza na kutengeneza future prime areas.

Ni hivi huyu Nehemia hana uwezo na nafasi anayopewa hapo NHC alianza Tibaijuka kumfunga speed governor alizuia huu mpango alipokuwa waziri, Lukuvi nae akamfunga tena speed governor kwenye kuwapandishia kodi wapangaji kwa asilimia 200% na kumtaka aache tena kupandisha kodi ovyo (hizo zilikuwa zama za J.K) na Magufuli ndio akamtibua kabisa kwa kutaka kuendelea serikali kumpatia dhamana ya mikopo ambayo inaishia kuhudumiwa na walipa kodi badala ya miradi anayojenga.

Huyo mtu hana uwezo wa kufanya miradi ya kibiashara inayohitaji mbinu anataka vitu rahisi tu kutekelezeka.

Hiyo sera inaenda waumiza watu kwa sababu ambazo hazina msingi wa kibiashara ya shirika la umma ata kidogo.
Tunataka jiji lipendeze hasa maeneo prime.
Hatuwezi kuacha mabanda ya mkoloni yaendelee kuwepo ambayo 75% wanaishi watu wenye uraia zaidi ya mmoja.
Kwanini na wao wasijenge nyumba za kudumu wakaishi kama kina kikwete, magufuli, mkapa nk amba wana nyumba zao.
Watu wanaishi kiujanja ujanja tu hela wanaenda kujenga canada, dubai na marekani.
Hapana hapana
 
Yaani sana baraza la mawaziri linakaa kabisa linasema sawa.

Tibaijuka sijui kwa sababu alishakuwa mkuu wa UN makazi akaona ubovu wa sera hii aliizuia alipokuwa waziri.

It’s just immoral isitoshe unapotoa watu kuna fidia za ku walipa kwanza na allocations za makazi pale ambapo lazima uvunje jengo.
Tibaijuka ndio bomu kuliko chochote , labda kama hakukuwa na Maslahi yake , kule kurasini Mivinjeni Tibaijuka alisimamia dhuluma ya nyumba za wakazi wale kwa kuwalipa hela ndogo , kwa kisingizio cha kupanua Bandari , baada ya watu wale kuondolewa kwa mtutu wa bunduki , hakuna bandari iliyopanuka , bali eneo aliuziwa Oil com na Bakhresa .

Zaidi ya Nusu ya wakazi walioondolewa pale wamekufa kwa msongo wa mawazo huko walikohamia .
 
Nehemia ni aina ya watendaji wapendao sifa za kijinga na mshirika wa mafisadi na ndiyo maana JPM alimla kichwa.

Vilevile, huyo ni mmoja wa waliorejeshwa na Samia ili kumkomoa marehemu JPM [emoji1]
Kumkomoa jpm au marehemu(kama kweli anaweza kukomolewa)

Jpm alikuwa sawa na ibilisi akiona mpenda maendeleo anamuumiza ili aweke wasukuma wenzake
 

Nehemia Mchechu ni wizi na JPM alimfahamu vema na kumfukuza kazi.​

Bi ushugi kashauriwa na JK kumtudisha kwenye nafasi ile ile.​

JPM akarudi leo kwa bahati mbaya huyu mama atarlekea wapu?​

Yeah ni mtu ambae JK anamuamini sana.

Kurudi tu upya serikali imemkopea nyongeza kumalizia miradi ambayo JPM aligoma kutoa dhamana ya mkopo kwa sababu shirika lilishakopewa before kwa miradi hiyo hiyo ila imevuka budget probably due to poor financial management and overpricing za ufisadi.

Samia through JK wanaweza achia hiyo michezo.

Binafsi Makamba, Bashe na huyu Nehemia wachezee tu hizo hela za serikali wanavyotaka.

Ila kwenye upuuzi wao wahakikishe maamuzi yao au kwenye harakati zao za kutafuta sifa wasiumize watu wasio na hatia kama hii sera ya ubia. Wafanye huo bia lakini sio kwa kuwatoa wapangaji kwa mabavu na uonevu.

Watafute maeneo ya wazi wafanye wanavyotaka NHC no one cares what Nehemia does anymore ila upuuzi wake usigeuke stress kwa wengine kama huu mpango wa kuvunja blocks usio na kichwa wala miguu.
 
Yeah ni mtu ambae JK anamuamini sana.

Kurudi tu upya serikali imemkopea nyongeza kumalizia miradi ambayo JPM aligoma kutoa dhamana ya mkopo kwa sababu shirika lilishakopewa before kwa miradi hiyo hiyo ila imevuka budget probably due to poor financial management and overpricing za ufisadi.

Samia through JK wanaweza achia hiyo michezo.

Binafsi Makamba, Bashe na huyu Nehemia wachezee tu hizo hela za serikali wanavyotaka.

Ila kwenye upuuzi wao wahakikishe maamuzi yao au kwenye harakati zao za kutafuta sifa wasiumize watu wasio na hatia kama hii sera ya ubia. Wafanye huo bia lakini sio kwa kuwatoa wapangaji kwa mabavu na uonevu.

Watafute maeneo ya wazi wafanye wanavyotaka NHC no one cares what Nehemia does anymore ila upuuzi wake usigeuke stress kwa wengine kama huu mpango wa kuvunja blocks usio na kichwa wala miguu.
Kama watawafidia waondoke kwenye hayo maeneo ambayo ni prime

Ova
 
Tibaijuka ndio bomu kuliko chochote , labda kama hakukuwa na Maslahi yake , kule kurasini Mivinjeni Tibaijuka alisimamia dhuluma ya nyumba za wakazi wale kwa kuwalipa hela ndogo , kwa kisingizio cha kupanua Bandari , baada ya watu wale kuondolewa kwa mtutu wa bunduki , hakuna bandari iliyopanuka , bali eneo aliuziwa Oil com na Bakhresa .

Zaidi ya Nusu ya wakazi walioondolewa pale wamekufa kwa msongo wa mawazo huko walikohamia .
I can imagine hivi hawa watu awaelewi namna hayo mambo yanavyoenda vurugu maisha ya watu na psychological disturbance wanazowapelekea watu bila ya sababu.

Ovyo kweli ila hapo NHC huo mpango ulikuweko toka enzi za JK ni yeye huyo huyo ndio aliezuia na najua maeneo ya ‘Al Muntazir’ Nehemia ndio alikuwa akiyatamani sana.
 
Kama watawafidia waondoke kwenye hayo maeneo ambayo ni prime

Ova
Na kuwapa nyumba nyingine za kuhamia kwa rent zinazolingana well sawa tu.

Ila kumbuka kama ni maeneo ya mbali kuna watu inabidi waache kazi zao. Ni hivi nyumba nyingi za serikali uvunjwa kwa sababu sio safe tena au eneo husika lina uhalifu sana wanafanya regeneration ili kuvutia watu tofauti tofauti.
 
I can imagine hivi hawa watu awaelewi namna hayo mambo yanavyoenda vurugu maisha ya watu na psychological disturbance wanazowapelekea watu bila ya sababu.

Ovyo kweli ila hapo NHC huo mpango ulikuweko toka enzi za JK ni yeye huyo huyo ndio aliezuia na najua maeneo ya ‘Al Muntazir’ Nehemia ndio alikuwa akiyatamani sana.
Hata maghorofa ya Jeshi njia panda ya Uwanja wa Taifa yako sokoni na wapangaji wameisha taarifiwa , sasa hivi ni kupora tu
 
NHC waache uhuni. Pale mtaa wa Samora Posta, ile parking opposite Salamander Tower, (GSM) kaipataje!?

Pale palivunjwa jengo na pakakaa muda mrefu wazi pakiwa pamezungushiwa uzio wa bati. Leo gsm kapageuza parking. Nini hasa lilikuwa dhumuni la kuvunja jengo lililokuwa pale!?

Leo gsm kapageuza parking. Je, ameuziwa!? Au amekodi!? Na kama amekodi, nini hasa lilikuwa lengo la kubomoa lile jengo!? Na kama kalinunua, ulifanyika mnada wa kuuza eneo lile!?
 
NHC waache uhuni. Pale mtaa wa Samora Posta, ile parking opposite Salamander Tower, (GSM) kaipataje!?

Pale palivunjwa jengo na pakakaa muda mrefu wazi pakiwa pamezungushiwa uzio wa bati. Leo gsm kapageuza parking. Nini hasa lilikuwa dhumuni la kuvunja jengo lililokuwa pale!?

Leo gsm kapageuza parking. Je, ameuziwa!? Au amekodi!? Na kama amekodi, nini hasa lilikuwa lengo la kubomoa lile jengo!? Na kama kalinunua, ulifanyika mnada wa kuuza eneo lile!?
Hilo ni moja ya eneo ambalo washasema litajengwa kwa ubia na GSM huyo huyo ndio atashinda tender ya kuwa mmbia.

Na JK mwenyewe siku hizi pamoja na mwanawe Ridhiwani wameingia kwenye property development; you get the idea kwanini Nehemia anawafaa hapo.

Anyway sipo hapa kuongea umbea wa kunyofolewa kucha ila uonevu lazima ukemewe.
 
Kama waendeleza majengo wanataka kufanya biashara ,yapo majengo ya zamani ambayo watu walishauziwa wanaweza kuongea nao waingie ubia wa kuyaendeleza.

Mfano yale majengo ya railway mtaa wa ohio opposite ppf tower. Yale wafanyakazi walishauziwa. Ila ni ya zamani. Simple tu wanaweza kuingia mkataba na wakazi wa pale, wakapangiwa sehemu nyingine, zikavunjwa na kujengwa jengo zenye ghorofa nyingi tena za kisasa kisha wakazi wakapewa umiliki wa apartment na nyingine zikabaki kwa kampuni kwa malengo ya biashara.
 
Tunataka jiji lipendeze hasa maeneo prime.
Hatuwezi kuacha mabanda ya mkoloni yaendelee kuwepo ambayo 75% wanaishi watu wenye uraia zaidi ya mmoja.
Kwanini na wao wasijenge nyumba za kudumu wakaishi kama kina kikwete, magufuli, mkapa nk amba wana nyumba zao.
Watu wanaishi kiujanja ujanja tu hela wanaenda kujenga canada, dubai na marekani.
Hapana hapana
Una point Ila bado hata hizo unazosema zijengwe bado watakaa watu wa hivyo tu.
 
Back
Top Bottom